RAIS SAMIA ATOA MIL. 100 KUKARABATI KANISA KATOLIKI la BABATI - MISA MAALUM ya KUMUOMBEA MWL NYERERE

preview_player
Показать описание
RAIS SAMIA ATOA MIL. 100 KUKARABATI KANISA KATOLIKI la BABATI - MISA MAALUM ya KUMUOMBEA MWL NYERERE...

Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kutoa kiasi cha shilingi milioni 100 kwa ajili ya zoezi la kutabaruku Kanisa Katoliki Parokia ya Roho Mtakatifu, Babati mkoani Manyara ikiwa ni mchango wake kwa kanisa hilo.

Kwa niaba ya Rais, Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango ametoa kauli hiyo katika Misa Maalum ya kumwombea Baba wa Taifa, Hayati Mwl. Julius Nyerere...

CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PESA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)

⚫️ OUR PLAYLISTS:

⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1, 000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!

globaltv_online
Автор

Am in deep love with Tanzania's leadership

austinmcharo
Автор

Hongera mm kwa kuchangia nyumba ya kuabudia jambo jema mwenyezi mungu atamlipa kwa hilo

fidelfidel-jziw
Автор

Sawa tunamshukuru lakini, ule WARAKA WA KATORIKI UHESHIMIWE


Bandari yetu hakuna kuwapa warabu

jitabojilala
Автор

Mh raisi kweli ni kiongozi na mlezi wa wote.hongera sana

erickchitumbi
Автор

Hahahaha Roma hongeren xana kwa kutengeneza ka mfumo ka kazipiga, xaxa MTU alokufa iyo ibada inamsaada gan kwake?

anselmoonolius
Автор

Ukifa utavuna ulicho kipanda kama umepanda kanisa utaungana na kinapetro kinapaulo kwani hatayesu hakujenga kanisa tusome vitabu ukisaidia zambi na wewe unapata zambi epuka tuepike makundi yasiyo na elim ya dini sahihi ya kiislam

IjumaaIjumaa
Автор

Na huyo msaidizi wako mbona acheka mwenyewe au kashaonja nini

fay
Автор

Mama umefanya jambo zuri la kutoa sadaka mungu akuzidishie mara 100 ya ulichokitoa.mungu hangalii wewe ni nani uwe maskini tajiri.kinacho matter zaidi? Nafasi uliyopewa hapa duniani uliitumiaje?

Chettymlambalipsi-lbkm
Автор

Naona kanywa gongo kali huyo msaidizi kazi kucheka tu

fay
Автор

Hebu tueleze unataka kubatizwaaa Allah akuongoze cheo kimekuchananya wewe mama tahiraa

fay
Автор

Hilo kanisa utaenda kujieleza huko akhera sijui utamjibu nini Allah au unataka kuritadi subhanallah

fay
Автор

Kachangia ili Mungu azidi kutukanwa 😢😢Wakatoliki woote wanasema yesu ni mtoto wa Mungu. Subhanallah😢😢

askofkibwe
Автор

Yani huyu bimiwani mzimu wa magu unamdhuru mno kunahitaji lamisikiti ichin watu tunaswalia mwembeni halaf anaenda changia pesa kwenye soko la biashara ALLAH ATUPE MWISHO MWEMA AMIIN

FatumaMamlo-stpj