RAIS SAMIA ATOA ONYO KALI 'VICHOKOCHOKO VIMEANZA, UTAKAA NDANI, USIINGIE MKENGE'

preview_player
Показать описание
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan
akizungumza na wananchi wa Kibaigwa mkoani Dodoma wakati akiwa safarini
kuelekea mkoani Morogoro kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku mbili leo tarehe 07
Julai, 2021.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

mama umenifurahisha kwa kweli maana tumeanza kuona kuna watu wanataka kuludisha ujinga kweny ii nchii

innocentatilio
Автор

Mama, ndio ujue kwamba hawa watu hawana mwema, hata uwabebe mgongoni watakung'ata tuu, Magufuri ndo alikuwa kiboko yaoo, walinyamaza

josephmangera
Автор

Mama upo sawa Hawa watu Ni Bora waanzilishi wa chokochoko wawe wanskamatwa

innocentbugomola
Автор

Waambie ukweli hao.wamezaliwa na kuikuta nchi ipo salama.ni bora wakaondolewa wao tukabaki watz wema mil.67 na kadharika.

erickchitumbi
Автор

Mama wasikujaribu wape action wanawake tunaweza

innocentbugomola
Автор

Mungu wa Mbinguni atakulinda Dada angu Mweshimiwa Samia, endelea kutenda Haki Mungu yuko pamoja nawe Milele

janekapinga
Автор

Mama...hayati Magufuli alisema..hakuna uhuru bila mipaka....zingatia Hilo Sana...ukienda kinyume na kauli hiyo...utasumbuka Sana...hao wachokochoko si kua walionewa..hapana...hayati alijua ubaya wao na hakuwapa mwanya....sasa na ww mama yetu kazia kamba mapema au watakuvuruga na mbwa..utaingia nae msikitini..na ukicheka na nyani...utavuna

j_gh
Автор

Mama Leo wanakupongeza subili kesho kweny kampeni awo awo watakutukana na kukubeza kuwa makini na nchii hii ulio kabiziwa

innocentatilio
Автор

Hongera mama simama kama jpm ukicheka na nyani utavuna mabua

jitabojilala
Автор

Hapo ni kweli mama. Endelea kushikilia ile gear ya Mtangulizi wako. JPM alijua dawa yao. Usiwachekee hata kidogo Mama. Hao wanalipwa na waliowatuma huko wanakotumikia.
Watuachie nchi yetu iliyo kisiwa cha amani na utulivu.

temuemanuel
Автор

Ongeza mkazo mama. Nchi hii haina upinzani wa maendeleo. Una kikundj Cha wahuni wanatafuta mlooo! Onaga umewapa ka uhuru, kelele zimeanzaa

emmamsamba
Автор

Hahahaha " vichokochoko vimeanza msivipokee mkaingie mkenge". "Ukizingua tutazinguana " hahaha mama yuko vizuri.

mwasoprince
Автор

Wakusikia wasikie watakao kataa ole wao

oyay
Автор

Sasa kuna mahali unaelekea...tunakuombea ..hii nchi mama ina wanafiki wengi sana...Mungu akutie nguvu na akuongoze.

samwellwiza
Автор

Wewe ndio umewaachia maadui wa nchi yetu kisha unatutisha sisi vidagaa wewe tuburuze utakavyo ila kumbuka MUNGU anakuona na ana nguvu kubwa kuliko wewe yaani unawaachia mapapa na manyangumi yatumalize?😭😭😭RIP mzee baba 🙏Magufuli

shinipapaya
Автор

Mimi nilkua mpnz mkubwa wa chama cha cuf ila kwa upumbv wa lipumba nikahmia chadema, ila kwa mifumo ya huyu mama na uropokaji mlokua nao chadema kiukweli mtanisameh mim naungana na mama

aboubakarykitemi
Автор

samia bana uyafungulie mwenyewe na uwanze kuwatishia wanainchi we mwenyewe mbona unamambo ya ajab sana aliekuteuwa aliyafungia yote machafu kama inchi zingine kubwa vile wanafungia mambo ya kuchafuwa inch we umefungilia wez madawa usagaji pamoja na wafanya fujo inchini ufisad sasa kunachokufanya iwatishe watanzania wasio na hatia kitu gani wakat umeyataka mwenyewe

aishaalbalushaishabalush
Автор

Mwenzio alie kutangulia aliminya uhuru wa kuongea ila wewe umewaacha watu wabwabwaje we unadhan Vichokocho havitakuwepo? Waswahili hata uwafanyie nini hawanaga jema hawa na tumejaa unafki

emanuelleopod
Автор

Mama wazungu watamponza na corona, siku atajikuta yupo peke yake! Watanzania wanajitambua sana!

linkreuben
Автор

kwenda kule vichoko choko vikija mmevileta nyinyi kwa maguful avikuepo, maguful

focuseric