filmov
tv
Tid na Jmo wafunika Dar Live

Показать описание
Usiku wa kuamkia leo Jumapili ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani wa Dar Live uliopo Mbagala Zakhem jijini Dar kulikuwa na shoo ya heshima kwa Bongo Flava waanzilishi wa muziki huo waliowahi kutamba enzi hizo walipigiwa mizinga mitano kabla kuanza mambo.
Shoo hiyo iliyoandaliwa na kituo cha Redio na Runinga cha East Africa Television na Radio ya East Afrika kupitia kipindi chake cha Planet Bongo baada ya kupigwa mizinga hiyo umati uliofurika ukumbini hapo ulitulia dakika moja kuwakumbuka waanzilishi wa muziki huo waliotangulia mbele za haki.
Shoo hiyo iliyoandaliwa na kituo cha Redio na Runinga cha East Africa Television na Radio ya East Afrika kupitia kipindi chake cha Planet Bongo baada ya kupigwa mizinga hiyo umati uliofurika ukumbini hapo ulitulia dakika moja kuwakumbuka waanzilishi wa muziki huo waliotangulia mbele za haki.
Tid na Jmo wafunika Dar Live
DIAMOND AZIHAKIWA NA TID MBELE YA SHETA AKICHEKA
VITUKO vya TID MNYAMA Stejini AKIPAFOMU kwenye TUMEWASHA, AWAACHA HOI MASHABIKI Mbeya...
SHOO YA 'TID' BAADA YA KUCHEZEA KICHAPO, AAMSHA BALAA!
Tazama Shoo Nzima ya Mr Blue Dar Live Eid Mosi
Juma Nature na Wanaume TMK wafunika Show ya Dar Live
Balaa Lamkuta Tanasha Dona Hamisa Mobetto Kuwasha Moto DarLive Hichi Ndo Kilichotokea Ni Hatari
Afande Sele awarejesha Mashabiki wake Dar LIVE
TID ABADILI JINA ATAKA AITWE WARIOBA MNYAMA, AKATAA KUITWA LEGENDARY ADAI SERIKALI NDIYO IMWITE
MANENO YA MWISHO YA MAREHEMU CPWAA, UGONJWA ULIOMUUA NI HUU
T I D Maisha Club Dodoma 4
Usiku wa Chirstian Bella Jukwaa 1 na Ferre Gola
Historia nyingine imeandikwa Dar Live, ni Roma na Stamina tena
Live Perfomance: Young Dee - BBM, Msaga Sumu Mikumi kwa Profesa Jay
Ziggy: Sitaki Kuitwa Msanii Wa Bongo Movie
Daz baba arudi kwa kishindo katika Music
Banana Zoro na Saida Karoli wakumbushia Zamani
Комментарии