Juma Nature na Wanaume TMK wafunika Show ya Dar Live

preview_player
Показать описание
Usiku wa kuamkia leo Jumapili ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani wa Dar Live uliopo Mbagala Zakhem jijini Dar kulikuwa na shoo ya heshima kwa Bongo Flava waanzilishi wa muziki huo waliowahi kutamba enzi hizo walipigiwa mizinga mitano kabla kuanza mambo.

Shoo hiyo iliyoandaliwa na kituo cha Redio na Runinga cha East Africa Television na Radio ya East Afrika kupitia kipindi chake cha Planet Bongo baada ya kupigwa mizinga hiyo umati uliofurika ukumbini hapo ulitulia dakika moja kuwakumbuka waanzilishi wa muziki huo waliotangulia mbele za haki.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Dah Juma nature nimekuvilia kofia baba, we Fundi miaka mia

josephpiusmtanke
Автор

Asiompinga sir necha gonga laiki 2juane

hamisibaharia-blog
Автор

Sana mzee pamoja nakuwa umelewa tumekuelewa

arqamhaiadar
Автор

vijana wakijipanga vizur wata tamba kama zaman nikwel mziki waleo niwao walio uwandaaa

daudimariseli
Автор

Nature akipunguza pombe atarudi kwa nafasi yake

badboy
Автор

sound inazingua ni mikelele tuu jmn tunalipia etiii

sakinandoile
visit shbcf.ru