Lady Jaydee - Usiusemee Moyo (Official Audio) SMS SKIZA 7916639 to 811

preview_player
Показать описание
#ladyjaydee
Sms 8613475 to 15577 Vodacom Tz
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Nimerudi tena hapa 2023 na nitarudi tena 2024

zenicemtui
Автор

Still listen to this 2020.. kama unasikiza paka sasa hu wimbo wewe unatambua mziki mzuri weka like yako hapa 👍🏽

Msuyafinest
Автор

Wimbo nilio imba wakati nashiriki miss mbeya daaa😢

miriyamasanja
Автор

Nani amekuj hp baada ya performance yk na zuchu 🥳

aishamohammed
Автор

Hakuna mwanamke aliyekuja akafanya kama hivi kwenye bongofleva. Sijaona.

morisjohn
Автор

Hizi ngoma zanikumbusha my brother he still has your cd he bought akiwa highskul or after he still has it to date.

cirukarago
Автор

Nakumbuka huu wimbo tulikua tukishindana kuimba shule

graciouskazimoto
Автор

Kitamboo sanaaa izi ninakumbuka mbalii sanaa dah thanks jidee

dominickbugerula
Автор

Never loose the taste.... Instruments are mesmerizing and the message lives with us todate

mwasomola
Автор

Nakumbuka zangu iringa Shule porcini this was my favourite song!❤

Mau-wfcs
Автор

Pure African content ... great benga classic

b.v.grecords
Автор

Live Long wa Mara Zaidi ya dada kubwa Hakunaga 🙅🏾‍

Chakulachakiroho
Автор

Kutoka Burundi napenda sana nyimbo za Jay dee ana mashahiri mazito

edryuwera-hkxt
Автор

Amazing voice, nice song, bringing nostalgic feelings of them days

RamadhanAli
Автор

Jide, , noma Saana.Im your mshabiki taangu unaimba nyimbo za Witney hoiston kule stakishari Banana Uk, , , Halafu huyo mpiga electric guitar na flute noma saana, , bendi yako ile ya palw Mafuta House ilikuwa Kizazi saaana..Ijumaa nitakuwepo Gymkana VVIP

israelmkaka
Автор

Nimerudi tena hapa 2023

Nakumbuka mambo mengi sana yaliyopita!

HamisChuki-coxx
Автор

Nikiwa namuwaza mpenzi wangu Grace Simba nampenda sana

ramadanayubu
Автор

The zuchu lady and the legend combo was so perfect 😫 kwann haipo kwenye audiomack tustream

christinaleonce
Автор

Nostalgia alot of it wow Kenya represented

maryannemwangi
Автор

I wish I could drive time backwards! 😭😭😭

theafricannetworker