MTANZANIA ALIESHINDA MILIONI 340 MAREKANI 'SINA GARI, BADO NITATEMBEA KWA MGUU'

preview_player
Показать описание
Tanzania ilimfahamu baada ya kurudi Tanzania na kuweka wazi kwamba baada ya kusoma Marekani hakutaka kubaki huko na alikataa kazi yenye Mshahara wa zaidi ya MILIONI 425 ili arudi Tanzania, Benjamin Fernandes ndio huyohuyo leo hii ameshinda MILIONI 340 lakini hataki kununua gari na kwamba bado ataendelea kutembea kwa mguu
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Anachokisema Benjamin kuhusu watu kupewa nafasi kutokana na uwezo wao bila kujali umri wala elimu yao ni swala la kuzingatiwa sana. Mimi ni mtanzania kutoka Mbeya ninaye ishi Ulaya, hapa Ulaya nafanya kazi mbili. Project management consultant na pia ni mwalimu wa waalimu wa high school lakini sina degree wala cheti cha ualimu, wanachojali hapa ni uwezo ulionao. Huko Tanzania nisingeweza kuruhusiwa hata kufundisha shule ya msingi Mapambano. Ukitaka kazi hapa Ulaya hata uwe na degree utapewa jaribio la kupima ufahamu na uwezo wako wa kufikiri na ndiyo maana wenzetu wamepiga hatua. Tanzania na nchi nyingi za Afrika kuna wasomi wengi wana ufikiri mdogo kwa kuwa walisoma ili wapate kazi nzuri na si vinginevyo

ChrisZLC
Автор

Benjamin umetumwa na mungu kuja kuleta heshima tanzania, mi nitazidi kukuombea ktk kazi za mikono yako

damasmunishi
Автор

Hongeren Sana Millad Ayo na Benjamin mnatuwakilisha vyema
Mwenyezi Mungu awatie nguvu nasi tunakuja nyuma yenu.

fidelismsigwa
Автор

Kaka Benjamin Fernandes, huwa nafurahi na pia najifunza sana kutoka kwako, HONGERA SANA kwa kazi nzuri katika App ya NALA na hongera pia kwa uzalendo juu ya nchi yako. Natamani sana kuendelea kujifunza kupitia wewe kijana mwenzangu... God bless you so much brother...

Nimeipenda sana NALA lakn kwa sasa sipo Tanzania hivyo huduma hii nashindwa kuipata, naomba kama inawezekana maboresho yaendelee kufanyika kwenye App ili kuweza kufanya miamala ya Mpesa/Tigopesa n.k hata kwa walio nje ya Tanzania..
Once Again.. Big Up brother... #Mimi naamini Watanzania tunaweza kufanya mambo makubwa sana, Benji umetufungua macho mkuu

mosesmhami
Автор

Kama unamkubali benjamini gonga like! za kutosha!!...

hatbtalveson
Автор

Now I can realise that why did you refuse the salary of 420 milion per month, , , ! The power of identity is working inside you!, you real inspiring me.

Mike-ygpb
Автор

Japo ulivyovitaja vya kuhusu technology cvijui lkn nmependa unavyoongea na moyo wako juu ya Tanzania yetu Mungu akubariki brother

ummulkheirzubeir
Автор

Vichwa kama hivi sio vya kuviacha viende serikali iamke jamani mtu anafundisha vyuo vikuu vya ulaya na bado ana mapenzi na nchi yake, Hongera sana Benjamin nimekupenda bure

mwanajumaomahundumla
Автор

Thank yo bro...am in form 6 right now natumaini siku moja ntakuja kufanya kazi pa1 na ww

alphamenson
Автор

Ulivokataa milioni400 watu walikuona mjinga sna kila baada mafanikio saivi wanakupa hongera tz tupende kuheshim maamuzi ya watu benja u inspire me since day1

erickmremi
Автор

kama unamuelewa benjamin brother gonga like za kutosha

vicentmeshack
Автор

vijana tujifunzeni kwa kijana huyu, unajua Tangu nimeanza kumfuatilia nimejifunza vitu vingi sana kwake sana BENJAMINI

Gumada-tz
Автор

Congrats bro Benja.. NALA iko vzur, nimeikubali baada ya kuipakua.

hanmajengolahe
Автор

Hongera sana mkurugenzi wa Nala, kwakweli tumeona matokeo mazuri yote ni kwa neema za Mungu kwakweli nimemwona mungu live kwenye maisha yako pia nabarikiwa sana na wewe na malengo yako ya kufungua bank ninakuombee yatimie nitafurahi kwani jamii tutapona damu ya yesu ikufunike.

benjaminfernandes
Автор

Daha umenifindisha kitu Benjamin 👍😘najifunza vitu vingi Sana kutoka kwako

shamsahussen
Автор

I hope that one day Millard Ayo.com will be more of influential and developmental information like this one. Well done Feranandes and Millard Ayo

abayokalikawe
Автор

Safi kaka ubarikiwe wewe hero pls Rais Muugalia huyu kijana anapenda nchi yake pia anawssaidia vijana wote pls pls tanzania kwanza tanzania ya viwanda yeye gatafuti kiki yeye ni mchapakazi ubarikiwe sana Mungu hakupe uwepesi fanya zaidi na zaidi

dn.n
Автор

Asnt kaka benja, kuna kitu nimejifunxa sana tena umejaaliwa hakili na maono ya mbali sana, unamambo adim sana hongera kaka mungu akuweke miaka mingi uendelee kutufunua kiakili.

AliM-didz
Автор

Hongera yako mwenzako hatimaye mi nime SHINDA NJAAA#NAIPENDA TANZANIA

habarinamichezo
Автор

kaka mi nakufuatilia sana na ninajifunza vitu vingi sana kutoka kwako mungu akubariki sana, kweli kabisa huku tz kama huna vyeti we si chochote, wanahitaji vyeti sio uwezo, wana majina yao ya vyeti wanaita PhD, Mara vcd sijui DVD balaa kama huna hivo hata uwe na uwezo wa kuhamisha milima mzee utapambana na hali yako, ila umenipa nguvu mpya sana hongera umenivisha vazi jipya

adamzachariakinyekile