Ubaya Hulipwa kwa Ubaya, Nkana Walianza Wao, Simba Wakamalizia hivi Uwanja wa Taifa

preview_player
Показать описание


tembelea WEBSITE YETU

INSTAGRAM

FACEBOOK

TWITTER
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Safi Sana, Kama anfield vile.... Timu zikienda anfield mnazinguliwa nje ukiingia uwanjan ushadata

samsonmusa
Автор

Hivi ndo inatakiwa, ushindi unaanzia nje. safi sana

amosikabalata
Автор

Safi sanaaa😇😇😇😠😠pumbavu zao na icho cjui kessi kina bahat

petermim
Автор

Watanzania wachawi sana hawaendi popote group stages, ushirikina ndio wao kina kaka blaza

hamidriday
Автор

Huo ni mchezo wa kifikra tu, ukiamini umeliwa ila ukipuuza hupatwi na lolote, , , 😂😂😂

lazarojr
Автор

Mcheza kwao hutunzwa wazee walisema. Hii ndio Simba bwana na haya ndio mashindano yetu. Hongera wachezaji wote na benchi LA ufundi na wana wa msimbazi wote

shaabanbaiya
Автор

Kessy alikuja ki beef kakutana na Simba

kelvinaudax
Автор

ndio maana africa bado tunakiza kinene hatuwezikupiga hatua kwamwe

saidmkungwila
Автор

kwel soka la africa vituko, haviishi, , ila hongera chama langu kwa ushindi mbashalaaaa

nyanginywajr
Автор

safi sana security simba mmenifulaisha sana

nakolemputa
Автор

Yaaah Natamani Siku Niwe Security Niwaoneshe Mavitu Yakuwatoa Mchezoni Wageni Hongera Mbinu zina Saidia Sana

MrRush-evnr
Автор

Nimeipenda sana mbinu hii ya kuwatoa mchezoni mapema mn hata wao kwao walifanya vituko kama hivi!

ndarogamba
Автор

Bora hivo kwani ss watanzania huwa tuna walea sana wageni, wanajitawala wakiwa kwetu wakati kwao fujo

fedlemanya