Harmorapa kuhusu lugha kwneye kolabo na Msanii wa Belgium

preview_player
Показать описание
Harmorapa ameshaifanya ile collabo na msanii Kriticos kutoka Belgium kuja kufanaya naye collabo. Hapa ni wakati wa uandaaji wa nymbo hiyo ambayo wanasema itaachiwa soon.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Dogo mbona kashinda marapa wengi waliyo anza muziki kitambo. Irene Sabuka kweli ameamua kumfikisha kijana mbali

andrewmlamba
Автор

Hamorapa uko vizuri ila nakusihi fursa zipo mbele zaidi hasa ukijuwa kingereza.Ombi langu kwako ni kukusihi uchukuwe kozi ya kingereza.Naamini utatoka.

alexprosper
Автор

MADAMU WASHABIKI WAMESHAMPA KALICHUKUWA NA KUWASAPOTI WASHABIKI WAKE NA KAFUKIA MAJINAYOTE YA WAPIGAMIZIKI YA TANZANIA NA ATAUKO MAREKANI KWENYEWE

alihijiiddi
Автор

uko juuu sana ukiwa na wakubwa unajua kujishusha utafika

mautundumzuri
Автор

sauti ya awali kama ya mondi, . anyway hyo beat ni kufuru..

vianeyminja
Автор

Nani ako sahihi katika Master J and P Funk? Awa wawili walikuwa na maoni tofauti. P Funk alimkubali harmorapper moja kwa moja. Master J alisema dogo harmorapper ana week chache kwenye industry halfu ataisha vibaya.

mansaproduct
Автор

#HarmorapA kasema kiingereza chake cha kuunga unga lakini hiyo #Kolabo ni 🔥🔥🔥🔥. Kionjo tu imetiiishaa. #Master_J lazima akukubali na #Wema lazima #Aje_Mwenyewe . 😂😂😂😂

zak
Автор

Hiyo #Beat nooomaaa. Kisha jamaa kutoka Belgium #Critical kaachia mistari balaaa yani utadhani wasanii wa #Marekani.
Tia bidii #HarmorapA njia zinajifunguwa zenyewe. Tunasubiri sana hiyo ngoma #Movie

zak
Автор

harmorapa wema atakukubali tu..sio kwa line izo

ommysaid
Автор

yan huyu Dada mtangazaji nampendaga mpk naugua #stelia_mvungi

handsometz
Автор

umenikaza kishuwa uko juuu harmorapa 😍😊😇👏🙌🙌👏👏👏👏👈👇👉☝✋🙏👆

mukamugenzifrancine
Автор

Kumbe Watanzania tuko hivi?? sisi ni vigeu geu sana kwa sababu mwanzoni wakati anaanza kujulikana huyu Dogo, , watu wengi walimdisi sana...but naxhangaa kwa xaxa ni wachache sana wanaomponda...waooo Harmorapa kipenz cha watu

vvxdyei
Автор

dogo upo vizuri jifunze kiingereza kwa maisha ya mbele zaidi

jimmyjohn
Автор

hamorapa nakukubali Sana Kama shilole kizungu kisikukoseshe rizki chapa kazi Kama kazi

amnahleilah
Автор

dogo sikukubal semaa bit nimeona ipo gd sanaaa

elishaalex
Автор

Wata kubali tuu mbuyu ulianza kama mchicha harmo kaza tuu speed ya mwenge jembe

khalfanhamisi
Автор

komaa dogo utafika mbali, ukiona changamoto zinakujia we andaa unga after hapo utasonga ugali..

ibrahimhumbotv
Автор

Cjawai kumkosoa Harmorapa Ata Siku moja kwa sababu nilijua tokea mwanzo km harmo anakitu kikubwa sana kichwan mwake pambana brother ww Ni bonge la msanii japo wengi wana kuponda ila mwisho wa yote watajua tuu

omarylibenanga
Автор

p funk in mzushi tu huyo alisema yeye hawezi kufanya kazi na hammorapa hata apewe ml 10 sasa Leo imekuaje

saidmo
Автор

Asteria ww ni mzuri duuh nakupendaje ...

hassanbakari