LIVE: AMKA ANZA NA BWANA // MAOMBI YA ASUBUHI

preview_player
Показать описание
Zaburi 5:3
BWANA, asubuhi utaisikia sauti yangu, Asubuhi nitakupangia dua yangu na kutazamia.
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Bwana yesu haujaniamsha kwa bahati mbya nipe kibali tena bwana nipate binti wa kz kirahisi tena, niepushe na mipango yote mibaya wanayoipanga juu yangu bwana, bwana yesu wafanya kazi wote waliyokwepo kwetu bwana ambayo siyo sahihi bwana wewe ndyo unayowajua waondoke kabla mwezi huu haujaisha. Nisaidie bwana yesu. Wewe unatosha, wewe unaweza, nisaidie mungu wangu, nisaidi bwana yesu kenny alete pesa yangu kirahisi nilipe madeni kirahisi niepushe na madeni inayo nikabili iliyosababishwa na kenny bwana. Nipe uwepesi nimalize madeni kirahisi bwana yesu. Nipe kibali yako mungu wangu. Tenda jambo jipya nakutegemea. Asante kwa wema wako. Sina mwengine ninayomtegemea. Najikabidhi mikononi mwako bwana. Leo ikawe na heri bwana. Nipe nuru yako bwana fungua njia zangu zote za mafanikio. Wanayonicheka wakaaibike, nisaidie mungu wangu asante bwana yesu. Amen.

roseboamo
Автор

Asante Mungu kwa pumzi na uhai barikiwa mtumishi wa Mungu

Julita-yc
Автор

Neema yako Mungu yatosha kwenye Maisha yangu🙏💝🙏💝🙏💝💞 ninakushukuru Mungu kwa Neema na Rehma na fadhili zako ambazo ni mpya kila iitwapo asubuhi ❤

wahidakisingo
Автор

Asante Mungu kwa uzima na afya, asante Mungu wa kuilinzi kwenye familia yangu, asante Mungu kwa kuniamsha salama.

ErickaM-mdyk
Автор

Baba Mungu naomba siku y'a Leo weye siku y'a baraka na mafanyikio. Nina amini.

kapamevenas
Автор

Naomba neema Jehova ya kuamka na kusali naomba neema Baba ondoa kila uzito ndani yangu niteteee Bwana nakuamini wewe

doricejoel
Автор

Asante yesu wangu kwa. Kuniamsha salama naomba ulizi wako kwanzia asubuhi hii mpaka jioni ninpoanza safari ya kanisani nijalie baraka kwenye biashara yangu nijalie rizizki kwenye biashara Leo nakukabidhi bwana biashara yangu rinziki niweze kulipa madeni namwombea baba mkwe wangu alone na magonjwa yanayomshambulia bwana yesu mjalie uponyaji asnte yesu

MatildaMushi-tw
Автор

Mungu naomba uniondolee moyo wa chuki Nile moyo wa nyama. Niondolee moyo wa niwe nipe moyo wa nyama. Niondolee moyo mgumu nipe moyo wa huruma.

roseboamo
Автор

Baba katika jina la yesu.mtakatifu uketie mahari pajuu palipo tukuka najisogeza mbele zako nikushukru kwa ulinzi wako umenilinda na kunihifadhi usku kucha.natazma nisku nyingine umenipa neema na kibali kuiona siku hii.naomba ipate kuwa siku njema yenye neema na baraka zako, unitangulie katika mapambano yangu ya sku nzima.na kuziongoza hatua zangu.ahsante jevoha kwa kuwa umwema.Amen

Julieth-nkib
Автор

MWENYEZ MUNGU akubariki sana mtumishi.. bwana akupe maisha malefu na neema ya kumtumikia kwauwaminifu fathiri zake ziwe kwako daima n a zile shauku zilizoko moyoni mwako ziwe kweli na ziwe kweli yake...

frankstarstz
Автор

Baba asante kwa uzima Asante yesu Kwa neema yako Asante yesu Kwa nafasi hii ya kukutana nawe Asante yesu Kwa nafasi hii ya maombezi baba tembea nami kwa wiki hili naanza na wewe bwana na najuwa utaelekeza nyayo zangu.Amen

hellenwafula-jg
Автор

Bwana yesu asante kwakuwa umenisaidia, asante kwaajili ya upendo unayonipa. Asante kwa pumzi, asante kwaajili ya watoto. Asante kwaajili ya neema unayonipa. Yesu wangu nakupenda kuliko chochote umenitendea mengi sana. Asante kwa afya njema. Bwana yesu. Amen.

roseboamo
Автор

Bwana yesu nashukuru kwa siku mpya, cku ulioniandalia nipate nuru yako bwana mm pamoja na familia yangu watt wangu na wajukuu, iwe ni cku ya neema, iwe ni cku ya kibali, iwe ni cku ya upendo iwe ni cku mafanikio ninakabidhi cku hii mikononi mwako, ninajikabidhi mm na familia yangu mikononi mwako. Cku hii ikawe na heri bwana na yesu, ikawe ni cku ya mafanikio, asante bwana yesu kwa cku hii ya leo, ukaifanye jambo bwana, malaika zako wakaanze kazi bwana, leo nisiku mpya ambayo bwana umeifanya, tenda jambo jipya nakutegemea bwana, asante kwa neema yako bwana.

roseboamo
Автор

Naomba Toba narehema kwa maana mm nibinadamu sijakamilika nisamehe makosa yangu johova ninakila sababu yakukushukuru kwa Yale mema unayotenda katika maisha yangu nakurudishia sifa nautukufa mungu mwenye nguvu

ElizabethmsakiMsaki
Автор

Ee Bwana Yesu na jua ujawahi niacha, Naomba uniongezee kiwango kikubwa cha Imani unipe nguvu ya kusali na kuomba. Ili nguvu za Giza ziwe mbali nami nakuhitaji Bwana wangu Karibu kwangu Amina.

StevenJoseph-fftv
Автор

Bwana yesu asante kwakuwa umenipa kibali cha uzima, asante kwa biashara, as the kwaajili ya pumzi, asante kwa uzima, asante kwaajili ya watt, asante rehema, asante upendo unayonipa, bwana yesu endelea kuangaza nuru yako kwenye biashara yangu kwa watoto wangu bariki kz tunayoenda kufanya bwana tukafanye kwa upendo aman na baraka na ukanipe furaha na kila moja mimina baraka zako kwenye biashara yangu nikazidiwe na wateja, unitoeler moyo wa jiwe nipe moyo wa nyama, niondolee moyo wa kiburi nipe moyo wa nyama nipe upendo na watt wangu, familia yangu ndugu zangu, na watu wote pia amen.

roseboamo
Автор

Amen amen asante Yesu Kristo asubuhi ya leo nakushur kwa kunipa kibali kipya kuingia siku mpya.Anza na mm siku ya leo uifanye kuwa ya baraka maishani mwangu na kwa uzao wa tumbo langu 🙏🙏🙏

نيجي-ند
Автор

Ahsante Mungu kwa upendo wako ahsante Mungu kwa Tanzania yenye amani ahsante Mungu kwa watumishi hawa wanaojitoa kutufundisha na kutuombea ahsante Mungu kwa yite unayonitembe na familia yetu na majirani zangu wote ahsante Mungu kwa.ajili ya uhai

CarolineMambo-vt
Автор

Asante yesu kwauzimaolio ipa familia yangu nmeamini mtoto wangu Angie atapata kazi

TeresiaWabuko
Автор

Bwana yesu ninasema asante kwa asbh hii mpya bwana. Ninasema asante kwa kibali cha uzima, najikabidhi mikononi mwako bwana. Mm pamoja na watt wangu patroclin na elvira na rogathe. Asante kwa kuwapa uzima wanangu. Asante kwaajili ya pumzi. Asante kwa maisha niliyonayo bwana. Yote nikwajina lake yesu kristu amen.

roseboamo
visit shbcf.ru