Mke wa Yebei ashambuliwa

preview_player
Показать описание
Lilian Yebei ambaye ni mkewe marehemu Meshak Yebei anaendelea kupokea matibabu katika hospitali ya mafunzo na rufaa ya Moi mjini Eldoret, alikopelekwa baada ya kuvamiwa na kujeruhiwa vibaya usiku wa kuamkia leo. Ikumbukwe kuwa Meshak Yebei aliuawa katika hali ya kutatanisha, na sasa mkewe anahangaishwa na watu wasiojulikana.

Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.

This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.

Follow us:
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Jad please elewa news this is a widow we are talking about here
why r you defending ruto?God will protect her

cellaakeyo
Автор

Mujane!!!!yani kuna mtu anaeza enda ku umiza mjane, wooowi..ehe.Angels who protect widows are uncountable.

evalondi