CORD na Jubilee zapigania uongozi wa jiji Nairobi

preview_player
Показать описание
Kinara wa cord raila odinga amezindua kampeni ya kuhakikisha kuwa chama chake kimeibuka mshindi katika viti vya ubunge zaidi ya kumi na tatu hapa Nairobi. Odinga ambaye leo alikutana na wagombea wa viti mbalimbali katika chama cha ODM aidha aliwahakikishia wote kuwa mchujo utakuwa wa huru na haki. Raila aliandamana na gavana wa Nairobi Evans Kidero, mwenyekiti wa odm tawi la Nairobi George allodia na mbunge wa Langata Joash Olum. Steven letoo na taarifa hiyo.

Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.

This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.

Follow us:
Рекомендации по теме
join shbcf.ru