Yanga SC 2-0 JKT Tanzania | Highlights | NBC Premier League 22/10/2024

preview_player
Показать описание
Yamefungwa magoli mawili, Yanga ikishinda 2-0 dhidi ya JKT Tanzania kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi, mchezo ukiwa ni wa ligi kuu ya NBC #NBCPremierLeague

Wafungaji wa magoli hayo ni Pacome Zouzoua na Clatous Chama...
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Asanteni wanajeshi wetu ila tunaomba mkue mnazitumia Sana nafasi zinazotengenezwa siku hizi nafasi 8 magoli mawili 2 kweli 😢 🙏 Paccome punguza chenga mingi toa pass watu wapasie nyavu😢

RevithaRevitha-fq
Автор

Kama unaamini yangabingwa hakuna wakumzuia tujuane kwa like

sabinasabinam-ez
Автор

BAADAE UTASIKIA"WEE SIDE UKO NJE YA 18, WE KIMWAGA TULIA HUU NAUDAKA TU HAINA SHIDA"😂😂

kelvinkumila
Автор

AHMED ARAJIGA.Hazina adimu na adhimu ya waamuzi Tanzania. The pride of Tanzania

mweyoms
Автор

Huyu mtangazaji ni mzuri, ila acha mbwembwe za kizamani mara kujifanya unachanganya kiarabu, ENZI LUGHA YETU YA KISWAHILI

Kasika-hihf
Автор

Jkt mmecheza vizuri Sana ni mmefungwa tu

dj_davietz
Автор

Huyo mzize nibala Sana anajua mpira😂😀😀

GoodrichEmmanuel
Автор

Kasika sio rahisi kwa watangazaji wa Tanzania kuchanganya na kiarabu ina leta raha kwa wasikilizaji ila kama kwako inakukera wengine tunainjoi

mursallbilal
Автор

Hongera Sanaa yanga African wamejipanga vya kutosha

MasoudNyoni-go
Автор

Nasema hivi yanga ishuke Dalaj ishuke sihamii muniuweee😂😂🎉

JohnWamylon
Автор

Nani kawa Man of the Match? Maana pacome alikuwa Moto leo

damianmcba
Автор

nakukubali brother kipaji unachooo daaaah ukisema ni Ronaldo ukakosea minadha we ni Beckham 😂😂😂❤❤

Ommywhity
Автор

Yanga Amecheza na kikosi cha kawaida na Kafunga😂😂😂

arnaldo
Автор

Tuombe kibari Cha kucheza ligi zilizoendelea hapa bongo hatun mpinzani

SanogoAbdul-mi
Автор

Ukiskia umepangwa na yanga bora msusie mechi

youngyayoo
Автор

Second goal is supposed to be a goal kick, direct ball ❤uwezi funga direct bana yafaa angeanzia mtu, bt refa Hana hio ufahamu

DaudiWaswa
Автор

Na kamba anafungiwa kipa😂 ila wanajikuta kumuiga diarra afu inawacost maskini😂😂

elizabethismile
Автор

Kimataifa ndio jibu kamili lakini mpila watiz mchongo tutaona atakae wahi kuludi nyumbani 😂😂😂😂wale wabebwaji watajulikana

chusseboywcb
Автор

Sasa hv timu nyingi wakicheza na yanga wanakuwa na presha mpaka wanafanya makosa cwalaumu ni moto yanga wanaowapelekea

harriethdeogratias
Автор

Hizi tabia za kumuiga Diarra zitawagharimu wengi

GentleGiant-pjrk