Magoli | Tazama Yanga ilivyoisambaratisha JKT Tanzania 2-0 VPL 19/05/2021

preview_player
Показать описание
Haya hapa magoli mawili ya Yanga SC ikiipa kichapo cha mabao 2-0 katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliopigwa kwenye Dimba la Jamhuri, Dodoma. Magoli ya Yanga yamefungwa na Yacouba Songne pamoja na Tuisila Kisinda.

Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Merci mingi Tusila Kisinda, Bana Yanga African Balingi yo mingi, Tikala malamu mwana ya Congo.

felixmagulu
Автор

Asantee sn Young Africans 💚💚💛💛 kwa Ushindi mzuri sn 👏👏👏👏👏👏👏👏👏

yohanakiyumbi
Автор

Kichwa cha Yacoub kama kile cha Castro 🔥🔥🔥🔥💚💚💚💛💛💛💪💪💪💪

mercymoshi
Автор

Safi Sana Yanga😁Shabiki nikiwa Kenya 🇰🇪💚💛💚💛

sportssite
Автор

Yanga tuonane mana Leo wachezaji wetu wametufurahisha sna 👏👏

yasintamichel
Автор

Watangazaji WA mpira azam huwa munanifurahisha sana

florakabadoelkana
Автор

Goli kama la kaizer chief walilofungwa simba

ramiarashidi
Автор

Kazinjema zur wananchi nguvu moj✌️✌️✌️

amanimadenge
Автор

Ya kubaa anajua Sana mpira huyuu jamani

subzigzig
Автор

nikiwa shabiki yanga kindaki ndani leo nitalala bila chandarua na wala mbu sitowasikia kwa raha😀😀

aishabmapula
Автор

Yanga ina wenyewe jamani na wenyewe ndo kama sisi.

mohamedmsindo
Автор

Narudia tena na tena Yacouba ni mtu🤔🤔🤔🤔

fabianndimanya
Автор

utembwele fc next level kala 4G sauzi apande kitanda na kulala

ghanimaali
Автор

Ni marufuku mtu wa simba kucomment...subir mpaka umalize dozi ya 4G....tuache yanga tuna jambo letu

gracechristopher
Автор

Kiukweli UTOPOLO WACHAWI mpira gani wakupita mabeki vile🤔🤔🤔

simulizizenyemsisimko
Автор

Goli la kwanza pasi ya goli imepigwa kama ile MANYAMA wa kaizer chief ktk zile 4GB

joycekalembo
Автор

Naiomba caf mechi ya simba na kaizer chief irudiwe kwaxababu ckuwepo wakati ximba anafunga 4g

hiralishiralis
Автор

Huyu kipa kweli walistahili kufungwa magoli 5

omaryonga