MZEE SAID AILILIA SIMBA KUFUNGWA NA YANGA / HAKUNA PAJHALA PA KUIKIMBIA SIMBA

preview_player
ะŸะพะบะฐะทะฐั‚ัŒ ะพะฟะธัะฐะฝะธะต
๐‘ช๐’๐’‘๐’š๐’“๐’Š๐’ˆ๐’‰๐’• ยฉ2024 ๐‘พ๐’‚๐’”๐’‚๐’‡๐’Š ๐‘ด๐’†๐’…๐’Š๐’‚. ๐‘จ๐’๐’ ๐’“๐’Š๐’ˆ๐’‰๐’•๐’” ๐’“๐’†๐’”๐’†๐’“๐’—๐’†๐’….
#wasafi #wasafitv #wasafifm
ะ ะตะบะพะผะตะฝะดะฐั†ะธะธ ะฟะพ ั‚ะตะผะต
ะšะพะผะผะตะฝั‚ะฐั€ะธะธ
ะะฒั‚ะพั€

Mshaishiwa nyie mzee said wann sasa ndo msemaj wasmba au

AllyNalinga
ะะฒั‚ะพั€

Wasaf Bora mbazungua Bora mseme tu ich kipindi Cha kitaifa so kimataifa

AbdulMajidi-im
ะะฒั‚ะพั€

Ilikuwa ya arusha iyo maongezi yake yamenitoa relin ๐Ÿ˜…

zachariakishiwa
ะะฒั‚ะพั€

Uyo tahira anaongea u2mbo, wkt 2meona maamuz mabovu ya wale matahira waamuz w mchongo, xo km nae kapewa pesa aje kuongea upuuz wke apo bc kafanya vzr wamuongezee tena pesa

SuleimanHamza-hi
ะะฒั‚ะพั€

Binafsi nilijuwa tu huyu mzee mbona ana payuka payuka ovyo kumbe ni mvutaji mzuri wa sigara๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

caprice
ะะฒั‚ะพั€

Nikukumbushe jambo Mzee Said, ujue miaka ya nyuma maisha tuloishi ya UPATU, leo cc kesho wao, sasa wengi wenu bado mnayaishi hayo maisha, cc malofa Yanga hii hatupo hivo mda mrefu, cc sasa HAKUNA KUPOKEZANA ni ushindi tu kila tukipambana, HADI MSEME hadharani kuwa YANGA BAB KUBWA, sawa mtani jembe !๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

rehemamahendeka-rmek