Annoint Amani Ft Bahati bukuku - YE ALISIKIA WAPI ? ( Avoir c'est mauvais Official music Video)

preview_player
Показать описание
#annointamani#bahati#bukuku#

Moyo wa Mwanadam ni fumbo kubwa sana,
Usijaribu kuamua kabra ya kujiridhisha vizur na tarifa au jambo lililo tokea ,

Hata kama unaona kabisa kuna ushahidi wawazi kuwa muhusika kafanya ,
Bas jarbu kuvuka mpka zaidi kwa kutaka kujua je? nia yake ilikuwa ni hiyo au mazingira yalimfanya akakosea ,

Ili usikurupe usiamua mbela ya weng maana penye weng pana meng,
Tulia peke ako na kama utataka mtu akushaur tafuta alie kuzidi umri na maarifa ,
Pia hakikisha huyo mtu ni mzewefu wa hilo lililo kupata ,

Hasira ni mbaya sana katika maamuzi

(Mwanadam akifurah sana anaweza kuahidi vitu vikubwa ambavyo hata hawez kutimiza ,
vilevile mtu akikasirika anaweza akaongea au kufanya vitu vigumu ambavyo badae vinaweza kumuweka pabaya)

Ivyo usiamua Bila Mungu kuhusu utakosea chunguza kwanza usje Hukumu bila kosa )

(MTUNZI NA MWIMBAJI ANNOINT AMANI)

Artist Annoint Amani ft gospel legend Bahati Bukuku

( Language Swahili & French)
Audio A.E.A Tones studio
pro by Meddy+255712621330)
Video;A.E.A quality Video,director by Meddy+255712621330)

Bookngs
istagram;annointamani
+255767240181 = +255755099942
Dar Es salaam Tanzania)
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

huu wimbo unagusa kweli mafunzo makubwa haya God bless you all

omidopatrick
Автор

Nakukubali kwanyimbo zanjili zinanibaliki sn

GracePius-bppz
Автор

Na umwambie yure mpigaji wa piano aweke viungo tena zaidi tunakupenda sana bujumbura burundi tuko sambamba na wewe lakiini viungo kwenye piano

fideleharerimana
Автор

Bukuku nakupenda wewe ni mtumishi mzuriiii

naomimartin
Автор

Hongera kaka kazan utufikishe nchi ya a hadi wimbo mzur tena saanatu, .

barakasimon
Автор

Mtumishi usikilie hapo kipawa ni chako

naomnyaboe
Автор

AAA Mimi nimepata kitu hapa bro lzma nichanganye na zangu, SHALLOM

samwelchacha
Автор

Wimbo umenigusa sana, nipo mbali na nchi yangu, lakini nyumbani baadhi ya ndugu zangu wanalalamika na kuniesema vibaya, kuwa siwatumii hela lakini awajui changamoto ninayo pitia

marthageorge
Автор

🙏🙏🙏Tusije hukumu bila kosa wapendwa wa Afrika Mashariki, , Ujumbe mwafaka kaka Annoint , , naupenda sana pamoja na Wakenya kiujumla twabarikiwa zaidi 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥🙏🙏🙏neema na itoshe daima

brothercorrmuyonga
Автор

Siku nyingine mpe na Bahati Bukuku aimbe tusikie radha ya sauti kutoka kwake tafadhari

charugamba
Автор

Bahati umejipaka sana hadi unakaa Jezebel katika Bibilia

wesongaeugine
Автор

Amen amen be blessed brother anointe amani

faithmachuma
Автор

Umemshirikisha Bahati mbona sauti yake haisikiki? Tunaomba sauti ya Bahati tunaipenda sana

anjelakariko
Автор

Annoint tunaitaji uwe unafwatiria kwenye wimbo hii ilidufundisha sana tena sana katika maisha yetu

fideleharerimana
Автор

Mungu u najua zaidi waliofungiwa bila hatia wewe tu waokoe wimbo mzuri Sana.

jedidakimotho
Автор

Mimi nikajua mose iyobo jmn watu wawil wawili barikiwa sana

lizychris
Автор

Ubalikiw baba ANNINT. ujio wa mngu ukulinde daima

amanisalim
Автор

Waimbaji WENGI wa nyimbo za injili hawajaokoka unaimba unanyonga nyonga mdomo mtoto wa KIUME utafikili wa kike wewe siyo mtumishi wa Mungu wewe muelimisha jamii wakawaida

pastorzakariatv
Автор

HAKIKA WWE nisiraha ya Mungu nakupenda sana

paschalcassianoriginal
Автор

Huu wimbo wanitia nguvu . am watching from Kenya

janetmwelu