🔴#LIVE: KUTOKA DODOMA, MAMBO YAMEIVA/ 'YANGA SC WANASARE TENA NA DODOMA JIJI'

preview_player
Показать описание
Ikiwa Siku ya Jumapili ya Tarehe 15/5/2022 katika Dimba la Jamhuri Dodoma, itapigwa Mbungi kali kati ya Walima zabibu Dodoma Jiji Fc dhidi ya Wananchi Yanga Sc, Washabiki wameanza kutambiana kuelekea Mchezo huo, Utakaochezwa Saa kumi jioni.

#MpenjaTv #YangaSc #DodomaJijiFc
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Mka dare wenyewe mshindwe kwa jina la yesu kristo

alexwizeboy