IBRAH BACCA AIBUKIA NDONDO CUP/PRIVALDIHNO AMBANANISHA/'MIMI NIMETOKEA HUKU/NATAMANI NINGECHEZA'

preview_player
Показать описание
Mambo yameiva Ndondo Cup 2023,katika Uwanja wa kinesi ubungo Shekilango leo 27 August 2023 imepigwa mbungi ya Nusu Fainali ya kwanza kati ya Kibangu Rangers na Temeke manispaa na Kibangu Rangers wamefanikiwa Kuibuka na Ushindi wa Penati baada ya Kutoshana Nguvu kwa Dakika 90 ya Goli (1-1).....
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Mchezaj wetu bacca icho ndo kioo chetu yanga❤

rukaya-jghj
Автор

Mlindeni huko mtaani, wasije muiba wale majamaa😢

vibetz