Ndege ya ATCL yashindwa kutua uwanja wa ndege Bukoba

preview_player
Показать описание
Ndege ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) imeshindwa kutua katika uwanja wa ndege wa Bukoba mkoani Kagera kutokana na hali mbaya ya hewa. Badala yake ndege hiyo imelazimika kutua salama katika uwanja wa Mwanza.

#AzamTVUpdates #UwanjaWaNdegeBukoba #ATCL
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Bbc London ulimwengu wa soka unaonaje ukajitolea kuwasaidia uwe Rubani maana unasema uoga tu wakati taarifa inasema kuwa hali ya hewa ilikuwa mbaya, mvua wingu zito angetua vp wakati haoni njia

zainabubalama
Автор

Huo ni woga tu, mbona zamani zilikuwa zinatua vzr

bbclondonulimwenguwasoka