Zoravo - Upo Kila Mahali (Omnipresent God) official Live Video

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

What a blessing song🙌🏾🙌🏾🙌🏾 ooh my God, upo kila mahali🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾

rehemasimfukwe
Автор

Ju ni zaravoo....my comment is...mungu yuko ndani yako ata nyimbo zako zmejaa upako..na umejawa na neno..naeshimu kilicho ndani yako sana..upwakwa mafuta yani...barkiwa broo from Kenya 🇰🇪. ..leteni likes za zaravoo plus Paul clement

evencemangamwachia
Автор

I'm praying God to give me grace tukuje tumtukuze Mungu Kwa kuimba pamoja na Zoravo na Kina Paul Clement, Joel lwaga, kavishe, Calvin john, josh cleop na wengine wengi Kwa kundi lao wananibariki sana😊😊

dalmasmwagha
Автор

Aibu sana kijana huna tofauti na waimba miziki za Dunia usirufie minyole yako ya Pinga kristo

cristinaruka
Автор

Unapokuwa mtumishi wa Mungu, muonekano wako Ni muhimu Sana.Unamfundisha Nini mwimbaji mchanga, je aweke nywele Kama zako.Acheni kuingiza udunia Kanisani, kwa kigezo, eti mtawaleta watu wa duniani Kanisani.Acha hizo Haruni, acha kabisa.Nasikitika Pastor Carlos hajaliona Hilo.So Sad!

Alex_Anania
Автор

Hauonekani lakini Matendo yako kila mahali 🙏🏾
Glory To God

jdk
Автор

Ni level ya juu ya Next level 🎚️🎤🎹🎛️🥁🎸🎹🎺🎚️🎙️🎼🎵🎶🙌🔥🔥🔥🔥🔥

sweetestgospelmelodies
Автор

Aisee we jamaa kwa sauti uko the best in Africa nimekuelewa mtumishi Mungu akuongeze zaidi

ahadijoel
Автор

Simply amazing.May this song minister to many souls

MinisterSilas
Автор

Najivuniya wewe baba mungu wako akubebe juuu upo baraka kwetu Congo Drc

danielrubegajohn
Автор

Woyooo yaaaan uko sawa kaka kila kitu wimbo mzuri una mafuta MUNGU akuinue zaidii Upo upo kila

annathomas
Автор

Duh!! What an amazing piece. Wanamziki wako vyema kabisa 😀 Harmonies pia 💯

erkertser
Автор

Mana wew ni Mungu ufalme wako wadumu milele hauonekani kakn matendo yako yapo kila mahalii ....upo upo upo kila mahaliiii

giftmwanga
Автор

WEWE NI MUNGU WA AJABU, UPO KILA MAHALI💥💥💥

alex_vincent
Автор

Bendera chuma mlingoti cjhuma umetisha mkuu

reney
Автор

Duuh, wale wanaosema wameokoka wamevutwa na dunia. Hii haina Mungu hata tone hata kama watu watafurahia.

frenardadiemo
Автор

Ohhhh this song is so smooth. Zoravo, singers, and band never disappoint. Anointed! 🙏🏽

jusnita
Автор

That's great Brother, God bless You!! Amazing lyrics+Perfect music everything on point.

elibarickmathew
Автор

Omnipresent God! 🙌🙌🙌

The music is awesome. The voices are amazing!
Thank you the reminder through this song. Amazing!

charlienestory
Автор

Waooo...nyimbo zako za sifa zinanibarik sanaa bro

nickluca
visit shbcf.ru