PAIN KILLER PART 2

preview_player
Показать описание
Pain Killer kila nikikumbuka hili neno nashindwa kuamini kilichotokea.Vifo migogoro na sheria ziliandama maisha yangu I Hemed Phd I Odama I Mzee Chilo I
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Sisi wanaume wabaya saana 🥱 Déborah jipe moyo.piya hakuna rafiki wa kweli mwaiyi dunia yasasa

dieumerci
Автор

Poleni sana Saudi na Deborah Mungu Yuko na nyinyi maombi Kwa Sana malipo n hapa hapa duniani

aishaomar
Автор

Daaah!! Kumbe mahakamani kuko ivi jamani Kesi ni ngumu jamani asikwambie mtu

فطومفاطمه-شو
Автор

Mwanasheria wetu Apewe mauwa yake🎉🎉🎉🎉❤❤❤

AnethJoseph-mi
Автор

Mmefanya utoto kwenye hiyo maabusu dirisha la nyumba anakaa mtu mwenye kesi ya mauwaji mda wowote ukitaka kumuona unamuona mmezingua

issaibrahim
Автор

Pole Debora hao ND wanaume hakuna msaada lbd kukuchezea.. mwanashea mshenzi nakuchukua 😏😏

waydakombo
Автор

Bi nuru hapendezi kuwa gaidi binuru una sura ya upole bora hata mngemuweka riama

maryamtanzania
Автор

Kweli Kuna UNAFIKI n URAFIKI ..daud una UNAFIKI hao sio marafiki shenzi

waydakombo
Автор

Washamba wametukuta kwenye game wanaharibu kazi mwamba

mmadmsitu
Автор

Achana na dirisha la maabusu angalia ukumbi wa maakama

nasraathuman
Автор

Sasahivi Movie Mzuri Kama Hizi Hazipo 😓😓😓

mudimoz