EXCLUSIVE:RUBANI NEEMA AWEKA WAZI MADAI MARUBANI WANAWAKE KUKATAZWA KUZAA - 'MIMI NI MKE NA NI MAMA'

preview_player
Показать описание
EXCLUSIVE: RUBANI NEEMA AVUNJA UKIMYA MARUBANI WANAWAKE KUKATAZWA KUZAA - "MIMI NI MKE NA NI MAMA"

Ruban Neema Swai aliyejizolea umaarufu baada ya kufanikisha kuifikisha ndege ya Mizigo ya Tanzania kutoka Marekani amefunguka mambo mbalimbali...

⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)

⚫️ OUR PLAYLISTS:

⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Nimeflahi mpaka nalia😊
kweli hongela dada Mungu akujalie❤❤❤❤

karirekinyana
Автор

Hongera sana sana Mungu azidi kukusimamia na kukuongoza

Triphonia-ew
Автор

Hongera sana dada unaongea kwa kujiamini safi sana keep it up

EnockKagomba
Автор

Hongera sana neema sway you are living your dream God give you long life and prosperity in whatever you do

Lodrickmwambene
Автор

Welldone Imelda very good Interview really Exclusive

demicratia
Автор

Very congratulations sister!!God bless you.

KabwikaIbrahim-ldvf
Автор

Hongera sana Neema Swai, namipia natamani kuwa kama wewe Neema Mimi naitwa Medline Kaaya nahitaji msaada wako

EliachiMunuo
Автор

Hongera mama mchaga mwenzangu doh umeweza mama

bennamush
Автор

Hongera sana rubani wetu Mungu akutnze na akuongoze ubarikiwe sana

hidayashabani
Автор

Hongera sana dada, Endelea kumtukuza Zaidi Mungu, Ila usije ukakata tamaa mwangu usaidie na wanetu,

rithaurassa
Автор

Ongera sana dada Mungu akuongesre miaka na ujasiri

Malaikalaizer-dq
Автор

Mashallah tabaraka llah 🥰 yote kheri Mungu kampangia Hivyo 🗣️

khadidjasuleiman
Автор

Mwanangu anapenda urubani hapendi udharau anachokufikiria

maryamtanzania
Автор

Huyu dada kama kaolewa basi mme atkua mtumwa wa nizamu nyumbani kwao mana sio kwa sifa hizo kwa dada

fredrickipembe
Автор

Hongera saana Neema! Nimependa unavyoongea kiswahili ingekua watu wengine kwa shule ulizopitia wagejifanya kiswahili hawawezi vizuri.

irenembura
Автор

Wengi wanatamani wafikie huko ulikofika shida ni gharama za elimu hiyo wengi hatuna. Hongera sana

neemanicholas
Автор

Dada Neem hingera sana kuwa mwanamke rubani. Mchagamwenzangu pongezi sana

julianaswai
Автор

Nilikuwa nauliza shule kumpokea mtoto ampak form six, au ata form form

elizabetty-rtpy
Автор

Ninamtoto wa wa 8anandoto hiyo namuombea mungu

DEVOTHANGONYANI-bydv
Автор

Waooo nimekupenda sana mwanamke shaupavu

DEVOTHANGONYANI-bydv