WAZAZI wa RUBANI MWANAMKE ALIYERUSHA NDENGE MPYA ya MIZIGO - ''ALIKUWA NA NDOTO TANGU DARASA LA 3''

preview_player
Показать описание
WAZAZI wa RUBANI MWANAMKE ALIYERUSHA NDENGE MPYA ya MIZIGO - ''ALIKUWA NA NDOTO TANGU DARASA LA 3''

Captain Neema ndiye aliyepewa dhamana ya kuirusha ndege kubwa mpya ya mizigo iliyonunuliwa na nchi ya Tanzania aina ya BOEING 767-300F AIR TANZANIA CARGO kutoka nchini Marekani hadi Tanzania na kuishusha katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere jijini Dar es Salaam.

⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)

⚫️ OUR PLAYLISTS:

⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Kweli mzee wangu nimekubali we ni Kirenga 💪

noelbryson
Автор

Kooocha Malya!!Hongera sana sa, Wandu waone wanna.

mamertkibori
Автор

Umetuheshimisha Asante sana Neema mwanangu

fredyswai
Автор

Hongereni kwa malezi na kumwezesha huyo binti.Muletana wana wa ma, vikyon mbora moose mbe...

donaldndesaiya