B2K ft Dayoo-_- Nimekubali (Official Lyrics Video )

preview_player
Показать описание
Watch now Lyric Music Video by B2K featuring Dayoo performing NIMEKUBALI The music Video was shot in Dar es Salaam, Director Gunner

Connect with B2K on Social Media:
Instagram:  / B2kmnyamaa25

#B2K #Dayoo #Nimekubali
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Hello poleni na majukum ya kazi karibuni kuni sikiliza nyimbo yangu mpya ambayo nme mshilikisha dayo inaitwa nimekubali weka comment yako share like nishauri pia chochote ❤❤❤❤

BKMnyama
Автор

Mmeamka ma fan's wa mzik mzuri, ,goma Kali knouma alie pewa kapew jana, ,trending 20 leo no 18 🤜🤜🤜🤜🤜

KellyNyavanga
Автор

Mwamba nakukubali sana brother kama una mkubali B2K kama Mimi tujuane kwa likes

Papadaviotheshadow
Автор

Like za watu wa makambako na mafinga ziwe apaa 👍

neaboy
Автор

Wanaomkubali dayo na b2k usipitee bila ku like hapa 🎉🎉

mbisetv
Автор

Momma, I watched your movies when I was little.. Now I'm grown and I'm listening to your good music...
May God bless you real big...

ndukaubakingsley
Автор

kaka mmetishaa sana hili boongeee la song nasikiliza mbaka nilale leo ♥️

NicolasSaimon-otpe
Автор

Big UP Sana Kaka nimeikubali sana pa BUKAVU Congo

ByabahatiBurume
Автор

B2k sijapona na namfaidi Tena tuko hapa ❤..1M watu wangu huyu ndo supastar

meshtamtam
Автор

Nilikuwa nachukulia poa hii Ngoma ila mmeua sana, yaani ni murua sana yaani ❤❤

ReubenMdashi-vsmh
Автор

Natamn npate hat collaboration na wew mnyama naiman itaend san😮

LemmyStra
Автор

B2k nakukubali fanya ufanyavyo uje kwetu Lindi mjini uku watu wanaham na ww na Ngoma zako zinapigwa sana Kila sehemu

AllySimbajr
Автор

Home boy karibu mbinga tunakusubili kaka na hili goma hakikisha tunaimba wenyewe

eddykingtzsangaboy
Автор

Am a content creator from Kenya Nairobi.. B2K is always my best artist. I would like to be like you. Am also growing to be an artist. I like how b2k sings. Am growing to be him. Bro ukiiona hii comment jua. Mimi hukuwa nimekurank on top. No any artist like you in east Africa. Natambua mziki wako saana.

mrbrayow
Автор

Nimekubali part 2 ya kwanza nilishafanya mimi but respect to you brothers

MAILAGUN
Автор

Mauaa yakoo japo nlikukwazaaa
Nakupaaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

InnoClassic
Автор

Bonge moja la wimbo kama uko together na mimi ikipendeza gonga like 4 love

EdsonHaule-eszi
Автор

Kazi nzuri Sana, verse yako nailenda Sana, umeua bro💪💪💪💪

bennyngoye
Автор

Umeua kaka hapo kwenye nainua bango🎉🎉🎉🎉

YusuphZebedayo-uj
Автор

Wasanii wakali snaa wenye gundu wamekutana, , , goma kaliii xnaa❤❤❤

jossporahmsw
join shbcf.ru