Beatrice Elachi: Nakuomba Sonko Wachana na Kamnyweso

preview_player
Показать описание
Akiongea kwenye kituo cha Radio Citizen Spika wa Nairobi Beatrice Elachi amemuomba gavana Sonko achane na kamnywesho kwa maana ya pombe ili aweze kuiokoa Kaunti ya Nairobi #MikeSonko #BeatriceElachi #JamboKenya
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Huyu mama n mtu wa maana sana mungu akusaidie kazi yako

joborina
Автор

True hapo kwa Mungu. Judging is for the Lord

josephotieno
Автор

Amina Amina speaker point has been taken hongera unaongea na kieshima sana

wlkmwlkm
Автор

It's so funny. Sonko is behaving like he is not guilty.

lakhibhangra
Автор

Kwani speaker umekuwa mama#mchungaji? Nakuheshimu

martinendubi
Автор

Haha hii Kenya kuna mambo Elachi ameanza kuhubiri

otiendenelson
Автор

Why should we be like Kigali??
Because it's cleaaan???
Kenya is way better not wananairobi the whole country Ma'am
I hate this people thinking we are kids while they are working for us.
ITS KENYA TO WORLD LIKE TANASHA😂😂 sio haya promise za tanasha na diamond 🙄

essekabisah
Автор

Hongera mheshimiwa Bi.Elachi..I love ua style of expression to the public..swahili sanifu, God grant u wisdom, my wishes ungekuwa vice president for now and in future first kenyan woman president..u deserve it for real..hongera mama😘😘

reubenmagore
Автор

Napenda lugha yake Spika Beatrice Elachi...ufasaha unaofaa umemvaa kwelikweli...

duncanmulu
Автор

Sijui ikiwa kwahii habari tina na munai wanaweza kupata habari yangu tareha 18/2/20tina ulisema eti banyankole uganda desituri yao moja ni kijana harusi kabla apewe msichana anataka kuoa lazima akutane na aunt wamuschana kimwili eti ndiyo huyo aunt aseme ni ulifanya uchunguzi gani wewe mwenyewe ili uweze kutangazia ulimwengu uwongo kiasi hiyi banyankole nibantu kama popote kati ka afrikamashariki mambo yaharusi nimambo yaheshima kwanza sirahisi kijana mwenye kutaka kuoa kwajami furani asalimie wakwe kunataratibu wakukutana simu no.zangu naomba royal media mujulisha tina na munai walitangaza uwongo kuhusu kabila ya banyankole uganda hiyo desituri haiko nahaitkuwepo ningependa niwaeleze mulikosea kueleza uwongo uwongo tupu nanimechukia hicho kipindi chenu munakaa kikomedy!!!!

johnchampionndibalema