MCHEKESHAJI STEVE MWEUSI ALAMBA DILI NONO NIGERIA

preview_player
Показать описание
#stevemweusi #nigeria #comedy
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Bro Congo tunakukubali. Nakuitaji baby wangu nakuitaji 😀😀😀😀😀😀😀 aise uyo demu mnacheza naye ni mkali sana moto mayiyi.💕💕

Jean_michelBurume
Автор

Comedy ndio kipaji chako mana hata huo mziki uliimba kwakuchekesha lkn imekua baht imeenda mbali endelea acomdy❤

khayriyamussa
Автор

Bwana Steve hongera unaenda mbali. Hata huku Kenya tume tii keep it up

BritonBaha-sfds
Автор

Leo nimekuwa wa kwanza ku comment naomba likes zangu jamani 😅😅😅😅

charlesnzwalla
Автор

Hahaha this Guy is talented and happy, powerful combination

charliep.livetv
Автор

Steve nilijua iko siku utapenya kimziki unaweza kichizi

abdillahyabdilkadir
Автор

Ukitoka Kwa comedy umeisha ndugu yangu

FrancisMwita-yrij
Автор

Steve mweusi ni aina ya talent ambazo ni nadra sana kupatikana. The creativity is incredible. Ni ubunifu wa kuonyesha hisia halisi kwa namna rahisi lakini ngumu sana pia

emfmfr
Автор

Nigerians let gather here to show our support.

johneni
Автор

Sijui nitafute mtu wakunihesabia siku 😂😂😂😂

hanashhanash
Автор

Hii ndio mungu humpa amtakae. Ni wakat wako kaka big up sana

ally-k
Автор

Endeleea na mziki wee mzee wakujichetua🎉🎉

JoniMelikiori
Автор

ngoma imepenya nje ya Tanzania kimchezo mchezo tu hajatusi wala hajaongea kitu 😂😂😂

muzafarsharif
Автор

😂😂remix piga na kingwendu, kicheche na Clam vevo, goma litaenda zaidi

chrisk.efreestylerofficial
Автор

Namsubr harmonize na alikiba hamjaiona ama😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

mttwamama
Автор

hizi comedy Zako ni za viwango vingine na ubunifu wa hali ya juuuu TenaaaaA
Sisi Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Tunakukubaliii kamaA mate mndomoniii

BrianKibako
Автор

Umeanza sifa Sasa😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆🔥🔥🔥 nakubali una2wakilisha🇹🇿🇹🇿

daxdee
Автор

Endelea na vyote coz vitu vyako ni vitamu Steve. Vina vitamin zoteeee😘

casparymapunda
Автор

Sema mbongo bhn huyu jamaa anazarau sana ila mnaweza ona kama utan ila ukweli ndo anaongea ukwel wamoyoni😅😅😅😅

youngchuda
Автор

Asante sana Steve mweusi nakukunali sana nakusikiliza vizuli kutoka nchi ya BURUNDI, 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇰🇪 🇰🇪🇰🇪 big up sana

johnkaranja
welcome to shbcf.ru