TAZAMA ONYANGO ALIVYOTOLEWA UWANJANI BAADA YA KUUMIA, AKASIRIKA, DERBY IMEPAMBA MOTO...

preview_player
Показать описание
TAZAMA ONYANGO ALIVYOTOLEWA UWANJANI BAADA YA KUUMIA, AKASIRIKA, DERBY IMEPAMBA MOTO...

Beki wa Simba, Joash Onyango, Wakati Derby Ikiendelea, Kwa Bahati mbaya akagongana na mchezaji mwenzake wa Simba na kuumia ambapo ameshindwa kuendelea na mchezo na Simba wamelazimika kufanya mabadiliko ya mapema nafasi yake ikachukuliwa na Kennedy Juma.

⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:

⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)

⚫️ OUR PLAYLISTS:
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Kwa mbali unyango anasikika akidai anauwezo wakuendelea na game bila Shaka alikua anaitaka

samwelipima
Автор

SimbA hiii haina kiungo Wala mfungaji halafu balya na kapombe na mugalu ni wachezaji wa hovyo kabisa

simonzelote
Автор

Mtoeni kapombe balya na mugalus balya anapooza mpira

simonzelote