UKIONA ALAMA NA RANGI HIZI KATIKA KUCHA ZAKO JUA UPO HATARINI MUONE DAKTARI HARAKA hii ndio maana ya

preview_player
Показать описание
#knowledgeforyourfuture #fafanuomedia #tujengemahusiano
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Nakataa kwa jina la Yesu Kristo, Damu ya Yesu inamaliza inalinda dhidi ya yote

lilianluhasi
Автор

🙏🙏🙏 mwenyez mungu at 2linda na hayo majalib you Mana mm nipon na xifa 2 mungu ndo muweza wa yote

dorawema
Автор

Apo kwa nusu mwez niko vzr asante Mungu

SarahCharls
Автор

Asante sana kaka I have learn something important

delishaluhyaqueen
Автор

Mm hizi alama nyeupe kwa kucha kwangu uwa ni bahati ..lazma nizawadie

johnsamuel
Автор

Bt only God who knows more about our life

petermpole
Автор

Mumejipa elimu ya hali ya juu sana iyo elimu yajuae Allah pekee muacheni Kaletra watu pressure

hajatihajati
Автор

Jaman mmh me nlipokua mdogo tulikw tukcheza nawatoto wenzang tulikua tunaita vle vndege vyeupe tunaviomba kucha 😂😂af tunakuja tu alama huto tweupe basi tunafurahi sanaa mbona unatupiga aisee

vtkldzo
Автор

Mwenyezi mungu ndiye aliye tuummba sofa na shukurani ni zake🙏

bdhuekc
Автор

Asante sana Mungu namba3 ni mimi huyo🙏

aishafrancis
Автор

Yes number 5nikweli mimi fangasi inaniachiaga hoyi hata Docter anajuwa

alimatambwe
Автор

Watu wabishi Sana coz hata ukienda hospital sometimes doctor wanakuangalia macho ulimi pia vitu vingi vinaashiria magonjwa mwendelee kuwa wabishi

rehmahamishamismkande
Автор

Ukweli kabisa niko na doti nyeupe kwa kucha na niko na niko na alargy

kevinnambwaya
Автор

Ata kama iyo alama ningekua nayo badooo nisingestuka coz Mungu ndy ngao pekee

SarahCharls
Автор

Hii siezi amini ata kidogo hiyo ni elimu yenu, lakini mungu aliye tumba kwa mfano wake ndiye anatujua zaidi

pascalinamukui
Автор

Hivyo vidoti vikitokeaga nasemaga yangayanga wamenipa huuuwi🤦‍♀️kumbe ni tatzo🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️

nargissalim
Автор

Those who are complaining don't you understand Swahili amesema "kuna uwezekano" which means whatever he has explained isn't 💯 percent

moreengatobu
Автор

Mm nko na hyo ya mwez na ya vdoti tna mikono zote Ila tuliambiwa kwa simulz ingne kua tuko bright katka masomo na nikwel mm tokea chekechea nacheza number 1, 2, and 3

mariamnjama
Автор

Nikweli kabisa sai ninakilo 99 na nilikua mwembamba kweli

nuruhussein
Автор

Duu boss kuhusu kucha zenye hazina rangi ni kweli kabisa ulichokieleza yani Mimi nipo kama ulivosema kasoro uzito tu na hii kitu imekua ikiniumiza Sana kichwa yani

elishasimfukwe