MAMA WA MWANAFUNZI ALIEONGOZA KIDATO CHA NNE AFICHUA SIRI 'TOKA AKIWA MDOGO NI MDADISI, HAFANYI TU'

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Hongera sana Justina Mjukuu wetu kipenzi. Mwenyezi Mungu aendelee kukusimamia katika masomo yako.Hongera sana Dr.Edna kwa malezi mazuri. 👏👏👏

gertrudempaka
Автор

Hongera mungu akusimamie utimize ndoto zako

muhammadkipangatv
Автор

watoto waliofaulu mwaka huu, mvulana na msichana, familia yao wanauwezo

presseg.
Автор

Sababu ya kwanza kabisa ni kusoma vitabu sana sana, Tuzingatie hapo

hazelscheid
Автор

Kumbe mama Daktari hiyo ni akili ya kurithi hongera sana

masalagulangwa
Автор

Kumbe ni mhaya mwenzetu safi sana hiyo ndo faida ya kutafuna senene kwa wingi

renatusmatungwa
Автор

Tafdhar kichwa kinatakiwà kianze na muhaya justina

victormutashobya
Автор

Jifinze quran kusoma kuandik gusa picha yang hapo kama hautojli

muhammadkipangatv
Автор

Hongera Sana Dr majaliwa kwa mtoto wako

carolinenjiro
Автор

Mashaallah Allah amfanikishie malengo yake

hajeralqaidi
Автор

Hongera Dr wangu kwa mafanikio ya Mtoto!!

clemencemtei
Автор

Du mdogo kamaliza mapema ndo mim nilisema nataka mwanangu amalize mdogo kwenye miaka iyo

hatamimnimempendabulejaman
Автор

Akiweza na kuwa mwanamke wa kwanza kutunza bikra kitaifa mnitafutee 🚶🚶

johnmgodi
Автор

Mashaallah ongera binti na family yote

siriyangu
Автор

Mwisho aje kuwa mwanamziki maisha haya

babuubarotti
Автор

Nshomile iwe bojo!!!hatari sana congrats

blandinamnyinga
Автор

Sielewi niaje kamariza form 4 na miaka 15🤔🤔

jjmwamba
Автор

Hongera sana Dr.Majaliwa...Hongera sana kwa binti yako.Mwenyezi Mungu azidi kumfanyia wepesi kwenye masomo yake ya mbele ya safari.

yhasintakalenyula
Автор

Nimewaza kidogo:kuwa hapa mtoto atapelekwa beach zote za gharama.lazima apelekwe matembezi ya nguvu kwa kumpongeza.lakin ingekuwa ni wa shule zile za kata, , , ndio kwanza salamu za pongezi zingemkuta shambani akilima...aua anachunga ng'ombe..Sijui kwann Mungu ametuwekea haya madaraja ya umaskini na utajiri.

thaddeojude
Автор

Kwao hamna njaa nitamtafuta uyu bint nitakuja kumuoa 😂😂

mikehjackson