SIMULIZI FUPI: BEST FRIEND 3/3 ( MWISHO ) By Ankojay

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Tabu inakuja kwangu Jamani, utunzi wa Lissa Mwalla umetufanya tukifungua simulizi za watunzi wengine baadhi yao tofauti ni kubwa sana sana, zina mapungufu mengi hazina uhalisia kabisa, yani unakuta huelewi mtunzi anafikisha nini kwa wasikilizaji, unapeleka mbele usikilize nini kifuaatacho, sababu inachosha sana kwahiyo unaenda mbele angalau ujue hatima ni nini, mwishowe unaachana nazo, na bando huteketea.Lissa wewe una AKILI nyingi, KIPAJI KIKUBWA MNO si mchezo hukurupuki, natamani watunzi wengine kabla hawajaleta simulizi humu, wakuombe uwasaidie kuboresha, lakini sio free, angalau wakutoe, utunzi kipaji Jamani, huyu msimuliaji Anko Jay ni shida ana sauti nzuri hachoshi, kwa sauti tu MUNGU FUNDI.BARIKIWENI SANA MTUNZI NA MSIMULIAJI

ataamansi
Автор

Duh! Pole sana, maisha ni safari ndefu yenye kila aina takataka

Yusra
Автор

Hatimae nimeimaliza kwa siku moja zote tatu

elizabethmajaliwa
Автор

Ndani ya hii simulizi nimejifunza vingi mno ila kikubwa sana kumtanguliza mungu kwa kila jambo..na kingine kuwasikiliza wazaz wawili mana wao ndio nguzo yetu..ahsante sana anko j mungu akupe umri mrefu Amin..🙏

Salma-xhfc
Автор

yani anko j bila kujisifia utoboi 😅😅😅😅

christinahaule-pi
Автор

Yani dada lissa story zako kuna muda zinaboa kusikiliza uyu kemmy mbona mbumbavu sana kemmy huku mwishoni amezidisha upumbavu khaaa mana mwanzo alikuwa mpumbavu sasa mwisho kazidisha upumbavu kama nimtoe humo kwenye simulizi nimpe kichapo

OmanTaqah-uy
Автор

Hiii kubwa sana hiii.🙏🙏🙏 ❤❤❤❤subirini mengi mazur yaja toka kwangu mm n anko Jay 👊👊endeleeni kuitana kuskiliza na kusubscribe ❤❤❤mahaba nilionayo kwenu wasikilizaji wa ankojay simulizi ni mazito Acha tulete vitu..

lissamwalla
Автор

Lissa umetujengar sana ankojo mungu akubariki kwa simulizi nzuri sana yenye mafuzo mazuri

PhoebeWafula-dc
Автор

Elimu unayotupatia LISSA MWALLA kwa kweli tunajifunza vingi sana kwa hizi simulizi ankojay tunajua vingi na tunajifunza vingi pia🥰🥰🥰🥰

shadyasalum
Автор

Jaman Camy kama utamuumiza seju sijui kama utapona dunian na mbingun kweli

RahelIbrahim-idli
Автор

Kufikia hapo nasema hongereni sana na Mungu azidi kua pamoja nanyi

ChristinesifaRuwa-ixiy
Автор

Kazi nzuri sana kutoka kwenye mafunzo mengi na burudan ya kutosha, asante kwa sauti nzuur kuliko dhahabu unayotuburudisha vilivyo, anko j weka hata kakopa tu

RahelIbrahim-idli
Автор

Mashallah dada lisa Allah akupe maisha marefu nariziki pia kwakutuelimisha

ZinaTanzani
Автор

Nimeumia as if is me..Anko J simuliz Ni mafunzo tosha katk maisha😌Mungu akubariki Anko J na Aunty Lissa❤️🥰...

roselinegendo
Автор

Aisee anko j hii simuliz kuna vipande nimepitia ila huyu mwanaume ni muuaji ila Mungu hukuinilia watu wamsaada wakukuvusha kwenye jaribu ila hawa viumbe wanyakiusa wanatabia ya kuharibu ndoa za watu sana dada pole

JosephineMrema-tnlh
Автор

Asanten kwa smlz nzury yenye mafunzo Mungu azd kuwabarik na kaz yenu nawapenda sana LISA MWALA nakupa ongera kwa smlz zako tamu na zilipata msimulizi ambae nae nAnko J ❤❤❤

rizkimw
Автор

Anko j na Lisa mwala mungu awabaliki kwa kila hatua zenu

ajiliamosi
Автор

Hii simulizi imenifunza mengi ❤asanteni sana lissa mwala na anko j maisha marefu kwenu nawapenda sana ❤❤

DeboraMwasweba-ijqf
Автор

Ila kem uliyataka wazazi wakisema acha una acha asante lissa na anko j

ziadamtebwa
Автор

Nashukuru mungu kwa simulizi tamu Dada siko zote tangulizi mungu mbele hutaona mema

reachelchemtai
join shbcf.ru