MY SUGAR part 03: SIMULIZI YA MAPENZI, By Ankojay

preview_player
Показать описание
Besta Baada ya kuporwa mali alizopewa na mumewe, je ni nini kilichoendelea.? karibu usikiliz kisa hiki cha mapenzi chenye kusisimua
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Kwa kweli ankojay uko vizuri sana kwa simulizi

AichiSilayo
Автор

Aiseee, kaka anko j unajua kuvaa uhalisia haswaaaa, kama ktk hicho kipindi cha msiba wa mzee wa kihindi

RahelIbrahim-idli
Автор

Nimefika jameni aja nisikie my sugar Alicia wapi asant anko❤❤❤

jacklinekwamboka
Автор

Nimependa Esther na Chris kupenda ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉😅😅

deejuma
Автор

Leo kidogo nimewai ngoja nisikilize utamu 😋😋😋😘😘😘

FurahaMohamed-eo
Автор

Nimewahi miee nilikuwa naisubili ankojay simulizi tamuu na tunainjoi 🥰🥰🥰

shadyasalum
Автор

Nimewahi pia at last❤️❤️❤️❤️ shukran Anko j

dianandabirorere
Автор

Zuri Sana wandungu wa yule bwana baba watoto ndiyo wa mbaya walisambabishe kifo cha ndungu yao kwa mbureshe kwa sambu ya Mali mungu yuko pamoja na wewe dadangu. Asente Sana ANKO JAY nashukuru sana

reachelchemtai
Автор

❤❤❤❤i love your job and your voice anko Jay yani moto wakuotea mbali mai wetu uko juu wewe ni zaidi yao umewazidi wote simulizi mix kina elnai fantastic na wengine wote njogoo poli na wengine wote hawakuwezi hata robo, your on fire 🔥🔥🔥🔥🔥 kiboko yao congratulations 👏👏👏👏 my wangu kaka yetu mzuri mzuri good job ubarikiwe sana ❤❤❤ twakupenda zaidi ya kupenda kipenzi wetu

fatimafoaani
Автор

Anko imeniweza nilikuwa na stress atal lakini saiv zote kwishaa😂😂😂

lidiajephter
Автор

Anko j i wish nikuone ukicmulia live yaani naipenda mno sauti yko haswa ukiwa wacheka.😊

nashaldy
Автор

Duuuh, mabachela mahaba ya chris na hiyo mitego ya besta

RahelIbrahim-idli
Автор

Yaani simulizi Hatari uncle j ukoo vizuri sana

lulusenzia
Автор

Karanga. Umeadaa. Mwenyewe. AlaFu.u Unasma. Umechoka. ❤❤😂😂😂kaahapo. Uliwe❤❤😂😂🎉

zenahasan
Автор

Lakini hakushindi wewe Sauti yako anko 🤣🤣🤣🤣🤣💃

NawMi-ljcf
Автор

❤ anko j ni mmoja tyu respect kwak aunt

JoyceMlowo-qkvs
Автор

Jaman anko j una vijimambo wew, eti ukibanwa na mkojo ukiwa na nyege, mkojo hutoka kwa nguvu na sauti

RahelIbrahim-idli
Автор

Wacha nisikilize kwanza, nitarudi baadae tena

binthassan
Автор

Kwahiyo🎉🎉bersani. Anatomia.amerka❤❤❤❤ waooo

zenahasan
Автор

Simulizi ndio furaha yangu Asante sana anko j❤

lilianistephano
visit shbcf.ru