Chemical Ft Zuchu - Sukari (Video Cover)

preview_player
Показать описание
Originally performed by Zuchu from WCB

Boom play👇

For Bookings and enquiries;

Catch Up with Chemical on

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Chemical we Jini aiseee, nipe like 500 tu nikiwa hapa Marekani

fordthegreat
Автор

Hahahahahahaha nimefurahishwa na hiiii ngoma sijatarajia kama ningekuwa na ngoma kama hii kwenye simu yangu ila cemical umefanya niwe na hii nyimbo hongera sana dada kama kweli unampenda chemical gonga like moja hapo

dullamuhidini
Автор

Yan huyu demu anajua kutembea na beat mpk anakera na mistari mitamu km

rashidikawanga
Автор

Kama umekikubali kiuno Cha Chemical anavokata Basi like Mya comment

djmatia
Автор

chemical ndio best female rapper hapa bongo kama unakubaliana na mimi gonga like

chrissmosey
Автор

Duuh😲😲😲 Chemical Mungu nyimbo hii hadi nimeunguza nyama yangu

sofialinus
Автор

Wale wanaosikiliza huku wanapitia comments like 👍 hapa

CAPTAIN_GALAXY
Автор

Yaani uyu chemical akiamua kuwaa kama mwanamke akuna demu wowote anamfikia#nakupendra buree

hassanmbuyu
Автор

Zuchu huyu dem kaitendea haki hii beat, , inshort kakukimbiz sio kdg...

isackdaniel
Автор

😂😂😂😂😂😂 Chemical alisema akijipodoa anasepa na madanga ya mademu wooote sasa namuhurumia demu wangu tu kwa kiuno nilichokiona humu

chrissjoel
Автор

Nimeielewa hii🔥🔥🔥 gonga Like kama tuko pamoja👏👏

iqmediatz
Автор

No.9 sio masihara mjue kbs, Sukari ya Zuchu nyoko

malmavoice
Автор

chemical uko poa nice nyimbo iko on like jamani basi heshima kwake

thegeegamer
Автор

Ni mimi tu au kun mwengin kaskiz zaid ya mara 2 🤔 but linajua kunata na biti 🙌🏿

lulumichael
Автор

Kiuno chako kweli ni Sukari.. oG..100%😜💋💞💕❤💯

djbongotv
Автор

Mziki mzur unajiuza wenyw aseeh 🤔 collabo imetiki❤️ maneno ya chemical n zaid ya chemical kweny hii nyimbo..

afterfull-time
Автор

Pale chemical inapoongezewa sukari mambo huwa ni 🔥🔥 keep it up kipenzi

rehemamwakalinga
Автор

Kama unamkubali chemical gonga like apa🔥🔥🔥🔥🔥

yusufsilla
Автор

Chemi kumbe unamiuno😛😛😍😍ila umeuwa sana kwenye hii cover💥💥

jbboydragonmaster
Автор

Mi ndio maana nalipendaga hili li mtu linakoleza kweli kwenye rap zake ." MWANA LUBAO"

anthonyrich