“HESHIMU KILA MTU, WATU NI WALE WALE” DK. BITEKO

preview_player
Показать описание
#VIDEO: "Unawahitaji watu wakati wote, uwe na cheo,usiwe na cheo unahitaji watu, uwe na fedha usiwe na fedha unahitaji watu; kwenye maisha. Mungu ametungenezea mazingira ya kuwategemea wengine, Hata daktari unapougua, unahitaji daktari mwingine wa kukutibu na hata siku ukifa hutajizika utazikwa na wengine unawahitaji watu". Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dk. Doto Biteko.

Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

If you don't have two D you can't understand him but I really accept Dr. Bikuuuu1000 years

EmanuelAlexander-xf
Автор

Kiongozi wa mawazo ya usoni. "Watu ni wale wale!" ( John 8:1-11).

alexandermutakha
Автор

Mheshimiwa makampuni ya mitandao ya simu yanakera yanasumbuwa sana kwenye matumizi mfano unanunuwa GB 2 Kwa muda wa wiki Moja Cha ajabu umenunuwa saa Moja asubuhi baada ya muda wamasaa mawili TU GB zote zinakuwa zimeisha GB za wiki vivyo hivyo kwenye Salio la muda wa maongezi hili swala linaumaa sana mheshimiwa tusaidie tunaumia sana yaani hili ni janga inauma sana sana sana

SaidHamoud-ht
visit shbcf.ru