ANGALIA MPAKA MWISHO UTANISHKURU BAADAE

preview_player
Показать описание
#clamvevo #mtotoasma
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Bairam ana talanta kweli wapi likes zake

vin.man_ke
Автор

Bairam hujawahi niangusha mzee congratulations to you

muradsuleiman
Автор

Nawakubali sana kazi zenu mnakitu wengine hawana hakika kazi zenu mzuri

abuuutheimin
Автор

Naiona spirit ya kunumba ndani ya Bairam👏👏👏👏

liberationofmindsettothewo
Автор

Yani uyu kaka yupo kama richi richi nampenda yani

aminatanazanya
Автор

Mashaallah brother your very talented 🥰🥰💯🔥💥👌❤

tumajunior
Автор

Hakuna kurudia matapishi tna.mwenyezi mungu Akubariki sna kaka yangu🙏

immaculatekutto
Автор

Bairam namkubaligi kinoma aisee anajua sana

bashirbilali
Автор

Bailam unajua kuigiza kw hisia nafikiria utafika mbali sana kw kipaji chako

abeidabdullwarith
Автор

Huyu jamaa ana talent kubwa sana bro kaza shikilia hapa hapo uta toboa wakenya tuna kutama big up bro we are see what something you have this is big ⭐️⭐️⭐️⭐️more that kanumba

mitsanzehassan
Автор

Bailam ishi vizuri sana na Clam utafika mbali sana Mana unajitahid ila sio kwa mziki wa Clam akiigiza muvi za serious afu mkaeka beto broo hautoki weeee kunasiku niliangalia muvi ya serious ya Clam oyaa mbaka ninilia😂

peterganga
Автор

Iv N
Bailam anajua kama amefanana na Single Mtambalike

babynahiya
Автор

Leo nimefuraia hii movie na nimejifunza kitu kwakeli leo huyu kaka nikama ameongea ukweli kabisa ongera sana

mwaserarashid
Автор

Huyu kaka angekua mwalim WA mahusiyano Kila mtu angekua nn maana ya upendo ninapenda sana video zoke kwakweli

adasabhoky
Автор

Safi sana Biram npenda hii....c mtoe movie bana mnaweza sana ...hii story n tamu bt nifupi...

alinyamawi
Автор

Nice nimependa sana hongereni wote kw kazi nzuri

abeidabdullwarith
Автор

I story ni ya kweli kabisa ina niusu asilimia karibia 80....afu uyu kaka anajua sana ...ana fanana na singo mtambalike utafikiri ndugu.

rachelmikey
Автор

Ila hili jamaa li Bairam very talented hii kitu omba isikukute nilikuwa siaminigi nikiambiwa kuna watu wanaolewa na kuoa na wat wasiowapenda nilikuwa sikubali ila hii kit imenifunza jambo

maryamconstantine
Автор

Bairamu uko vizuri rakini lekebisha uhusika katika kupaniki na sio km unakosa LA lkn kunakitu kimemisi yaan mi nakuona mBali Sana pambn

olivanooraladin
Автор

Bairam ana tumia nguvu Sana hii sio desturi ya wanaume wabongo kuna boy gan wa bongo ana weza kuwa hivyoo

htvtanzania
welcome to shbcf.ru