Sakata la wanachuo waliofutiwa usajili lachukua sura mpya

preview_player
Показать описание
Waziri wa Elimu Profesa Joyce Ndalichako amekiagiza Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Tume ya Vyuo Vikuu TCU kuwarejesha zaidi ya wanafunzi 600 waliofutiwa usajili wao.

Amesema hakuna sababu kwa wanafunzi hao wa mwaka wa kwanza kuondolewa chuoni kwa kuwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam bado kina nafasi ya kutosha.
Рекомендации по теме