Jinsi ya Kuondoa Hofu Kwenye Maisha Yako na Kufanikiwa - Eric Shigongo

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Mh shigongo umeniamsha vizuri mno, kuanzia sasa nawakata marafiki wasiofaa, Mungu akujalie baraka na maoni mapana

KitilaMndeme
Автор

Jambo kwa wote

Mungu akubariki Brother Eric shigongo, unaongeya ukweli.

mulendabenjamin
Автор

Asnte sana ujumbe muzuri mungu akubariki sana

MmMm-uvi
Автор

Asante sana kaka, najifunza mengi kupitia darasa lako

edithavalelian
Автор

Mungu mungu, sasa ninamiaka 30 nikiwa darasa la tatu nilipenda kusoma vitabu VYAKO eriki, nimekuwa namiongozo yako nimefanikiwa kwakuiga mengi kwako nashukuru Sana

MohamedHaji-kfho
Автор

Hongera kwa mafundisho mazuri, ila sasa lugha hiyo unayochanganya wengine shule hatujaenda; Iman yangu ni kuwa unataka kuponya roho za watu na mimi nikiwemo, kama hautajali mafundisho ya namna hii ya kwenda mtandaoni yanaangaliwa na watu wa kila namna, kama itawezekana lugha ya kiswahili ipewe kipaumbele

abidandastanmaliyatabu
Автор

Bravo 👏 👏 👏 👏 network with the right people 😊

lucasisundwa
Автор

Nashukuru sana, umenitiya moyo na kuniinuwa kimawazo zaidi

NightbellLeadmen
Автор

Nashukuru Muheshiwa, nimesoma riwaya zako na leo nimejifunza kutoka kwako

martincostantino
Автор

Leo nimekutana na hii imenijenga sana, Mungu akubariki sana

sedekiabilijite
Автор

Barikiwa sana kaka Eric boss wetu wa elimu za mafanikio

DanielKawembe
Автор

nashukuru sana naitoa hofu kwanzia sasa hiv

Zuwenamuhammedy
Автор

I respect my brother, ni kweli unayoyasema yanatukuta wengi. But now I will study for you.

KkijaMakula
Автор

Huwa namfananisha Eric na tyler perry i think they have many things in common 🎉

JACKLINEMAHENGE
Автор

Naipenda sana hii. Great inspiration indeed

mpokimwakisimba
Автор

Ahsante sana mh.nimejifunza kitu kikubwa sana kwako

rosemarymwakisalu
Автор

Mimi nakukuribari nilianza kufata magazeti yako Toka shilingi mia ulipokuwa nakaka yako polis mikumi ulipesewa mtaji wa kwanza ukapote ukajetena akakwambia nakupa laki mbili mpaka Sasa ubarikiwe pili nilichukuwa Mimi upande wa mahubili ulipokuwa unatoa riwaya zako Leo ni mchungaji ubarikiwe sana sana

MiriamSaid-zx
Автор

Ubalikiwe sana kaka yangu nimejifunza mengi

lucymwilinga