LAZIMA USHINDE HOFU HIZI - JOEL NANAUKA

preview_player
Показать описание
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Asante kaka angu kuna kitu nime kipata kupitia mafundisho yako mungu akuweke🎉🎉

MariyaOmn
Автор

Balikiwa sana kaka ww nimtu muhim sana kwenye maisha ya watu wengi ishi myaka ming

AmaniRamadhani-rwjp
Автор

Mimi ninani hadi nipingane na ukweli huu
Doctor umeongea kitu sambamba namitazamo yangu yakila siku"na kuanzia sasa ugonjwa wangu umepona " God bless u🎉

ImmaMusic-bv
Автор

❤❤ umenitoa mbali sana Mungu akubariki

RosecharlesMollel
Автор

Hofu nyngine inatokana na maisha waliyoishi kuanzia walipokuwa watot inatesa sana

meryjohn
Автор

Mungu anisaidie nipone na nitoke kwenye mambo ya hofu na nijipe mouo

meggy
Автор

Badoo najifunza mwnyezi mungu akuwekee tuzd kupata elim kaka

saidside
Автор

Amen, Mwalimu Dr Joel nanauka ubarikiwe sana nakufuatilia upo vizuri sn

felsonsanga
Автор

Joel Joel saa 12; kamili ndo naamka nakutana na hii click🙏Jana nimepata cop ya Cheri changu Cha ndoa, Cheti kilipotea, Mme wangu alinikimbia na watot wetu wawili akawatelekeza, ameoa na amezaa na mwanamk kamuwek kwenye nyumba niliyojenga nae, nataka anipe tarak lakini Nina Hofu Sana Asante Sana,

happynescostat
Автор

Kaka kwakweli umekua mwalim mzuli na umekua sehem yabalaka kwawengi masomo yako yamesaidia wengi balikiwa sana kaka

neemacurthbert
Автор

Mungu akubariki sana, kwa maana unatusaidia vijana wengi sana kwa masomo yako japo hatujitokezi na kushukuru, binafsi umenisaidia sana katika swala la kujiali, kitabu chako cha Timiza malengo yako kimenisaidia sana nakumbuka mwaka 2017 nilikua natamani kufanya kitu changu mwenyewe lakini nilikua nimenasa kwenye office za watu na nilikua sielewi natokaje, baada tu yakusoma Timiza malengo yako hakika nilipata ujasili na atimaye mwak 2019 nikaanza kujitegemea na kufanya kazi yangu mwenyewe aiseee Mungu akutunze sana kaka yangu.

frankjoshua
Автор

Wewe ni daktar tosha mungu akubariki🙏

sharifasuleiman
Автор

Kaka ubarikiwe sana wewe ni life kocha wangu kila siku unanimotivate kusonga mbele

ramadhanalmashamza
Автор

Mungu akupe maisha marefu umenibalisha sana

Zefaniamwambagi
Автор

sijutiiii mbs zangu zikiisha kwa kujifunza kwa kutizama video zako life coach

BinSalimNgereza
Автор

Petro alizama kwasababu ya hofu Asante kwa ujumbe mzuri siku haipiti bila kusikia ujumbe wako

abrahammwambije
Автор

Kaka mungu akubariki Sana...kuna mengi nimefanya Kwa mafunzo yako na nimekaa sawa sasa kaka

JudithNakajumo
Автор

Asante sana kaka yangu kwa kuniokoa maan na hofu ya kuanza upya kwasababu nimejiestablish kwenye eneo moja mda mrefu

mussalrugegwa
Автор

Nimefanya maamuzi yakuacha kazi mda wowote, watu wananiuliza kwanini unaacha kazi kabla haujapata ingine. Kiukweri hii kazi Sina amani nao

chirwaellace
Автор

ubarikiwe kaka mimi uwa nina hofu yakuanzisha jambo

directorpatron
visit shbcf.ru