Kanuni Muhimu Za Fedha - Joel Nanauka

preview_player
Показать описание
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Shukrani mwalimu wangu kwakutudaridhia video hii nzuri na yenye kuvutia

yusufuheri
Автор

Hakuna hata Moja nimewai zingatia japo nashukuru ukurasa wako umenielimisha Tena sana

victorchiwai
Автор

Yaani umenisaidia sana, nimepata kitu kinachoenda kubadili maisha yangu

pendocharles
Автор

Hakuna...hta..moja..nilio kua nikifatilia.. lakini..kwa..Sasa..toka.. nianze kukufatilia br... nashukur sana... naona madiliko.. asante sana coach Joel 🙏🙏

brackskinyozi
Автор

Kanuni ya tatu imekuwa ngumu sana mm kuitekeleza

yonambughi
Автор

cjutii kuku follow tangu nianze kukusikiliza nimebadilika sana kwaving sana mungu akubariki kwakunifikisha nilipo

cellislove
Автор

shukurn snaaa. Kanunu 2 and 3. Nimezielewa snaa n huwa naziishi ktk maisha ilaa ss sema napokuwa naon matumiz y kila siku yamezid nakuw mpole.

hassanmeshack
Автор

Namahukuru mungu uu mwaja kanuni namba 2 nimeiwwza ila ii tatu 😒🤗

Herself
Автор

nashndwa kutunza akiba khabsa kwasababu naroho ya huruma kwa watu wang wa karibu

kastobenjamin
Автор

Kwanuni inayonishinda mimi ni kuweka akiba

chachamwema
Автор

Ubarikiwe sana kaka kwa huduma yako, mimi nilishajaribu 2 na 3 nimeshindwa plz nisaidie

tijaramakame
Автор

Mm ninashidwa hiyo tatu napata shida sanaa ila asante

obadiachristopher
Автор

Nimeanza kuku fatilia kaka najifunza vituy ving

deogratuskapunga
Автор

Matumiz kuongezeka zaidi kuliko kipato

ahmaditwaha
Автор

Pamoja sana mkuu ila sasa darasa linaingia vizur muda ndio umetubania mwalimu

joshuapeter
Автор

Nashukuru kwa ushauri kaka, mimi kanuni namba tatu imenigusa naona nilikuwa kipato changu kinakuwa sawa na matumizi naomba msaada kwa hili

godlovemakule
Автор

Kanuni zote hizo Mimi kwangu zinanisumbuwa sana kaka

richardbahati
Автор

Kanuni no tatu mm inanisumbuwa itabidi unisaidie

saluma
Автор

Asante kaka mim huwa nashindwa Ku blans matumiz mpaka najikuta natumia kidg kidgo mpaka inaisha

barakantindiofficial
Автор

Ahsante kwa SoMo zuri. Me huwa siwezi kuweka akiba ya asilimia kumi

nestarmtewele
join shbcf.ru