Sabaya na wenzake sita wafikishwa mahakamani

preview_player
Показать описание
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai,Lengai Ole Sabaya na wenzake sita wanaokabiliwa na kesi ya Uhujumu Uchumi,akiingia katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha leo Oktoba 18,2021 ambapo kesi hiyo inaendelea kwa ushahidi upande wa Jamhuri.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Mtamkumbuka. Aliewaweka .poleyako. Na bado. .

manaseyona
Автор

Mfungwa Sabaya kapendeza na upara. Atakuwa Mnyampara muda si mrefu.

gibsonjosephat
Автор

Kwanini wanasheria wao wasiwwakilishe mpk zitumeke gharama kumleta?

yahayasalum
Автор

Bado watafata waliokuanyuma .makonda nawengine

manaseyona
Автор

Cc wanachama wa chadema tunataka katiba ya chama chetu Cha chadema ibadilishwe tumchague mwenyekiti mwingine sio mbowe

abuuramadhan
Автор

Mzee wa nyundo 30 watamuua hawa kweli wahuni cyo wa2 wazuri sijui watamuongeza na ngapi

duoxmasisa
join shbcf.ru