filmov
tv
KESI YA SABAYA: MAPYA YAIBUKA, SASA IMEONGEZEWA KASI YA KUSIKILIZWA KWA WIKI NZIMA MFULULIZO..

Показать описание
KESI YA SABAYA: MAPYA YAIBUKA, SASA IMEONGEZEWA KASI YA KUSIKILIZWA KWA WIKI NZIMA MFULULIZO..
Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, imepanga kuanzia Oktoba 18 Mwaka huu ndipo itakapoanza kusikiliza kwa Wiki Nzima Mfululizo Kesi ya Uhujumu Uchumi inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai ole Sabaya na wenzake Sita.
Leo Oktoba 13, Mwaka huu, Shauri hilo lilipangwa kwa ajili ya kutajwa mbele ya Hakimu Mkazi Daktari Patricia Kisinda, ambapo Jamhuri imewakilishwa na Wakili wa Serikali Neema Mbwana, huku Watuhumiwa hao wakiwakilishwa na Wakili Fauzia Mustapha.
Katika shauri hilo la uhujumu namba 27 la Mwaka 2021, Lengai Ole sabaya na wenzake Sita wanakabiliwa na Makosa Matano likiwemo lile la kuomba Rushwa ya Shilingi Milioni Tisini huku wakidaiwa kutenda makosa hayo January 22 Mwaka huu ndani ya Jiji la Arusha.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ OUR PLAYLISTS:
Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, imepanga kuanzia Oktoba 18 Mwaka huu ndipo itakapoanza kusikiliza kwa Wiki Nzima Mfululizo Kesi ya Uhujumu Uchumi inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai ole Sabaya na wenzake Sita.
Leo Oktoba 13, Mwaka huu, Shauri hilo lilipangwa kwa ajili ya kutajwa mbele ya Hakimu Mkazi Daktari Patricia Kisinda, ambapo Jamhuri imewakilishwa na Wakili wa Serikali Neema Mbwana, huku Watuhumiwa hao wakiwakilishwa na Wakili Fauzia Mustapha.
Katika shauri hilo la uhujumu namba 27 la Mwaka 2021, Lengai Ole sabaya na wenzake Sita wanakabiliwa na Makosa Matano likiwemo lile la kuomba Rushwa ya Shilingi Milioni Tisini huku wakidaiwa kutenda makosa hayo January 22 Mwaka huu ndani ya Jiji la Arusha.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ OUR PLAYLISTS:
KESI YA SABAYA: MAPYA YAIBUKA, SASA IMEONGEZEWA KASI YA KUSIKILIZWA KWA WIKI NZIMA MFULULIZO..
KESI ya SABAYA, MAPYA YAIBUKA! WANAHABARI 4 WATISHIWA MAISHA, MWENYEKITI AZUNGUMZA...
KESI YA SABAYA, MAPYA YAIBUKA, ASOMEWA MASHTAKA 5 na AMEKANA YOTE, KILICHOTOKEA ni HIKI..
MAPYA YAIBUKA KESI YA SABAYA MOSHI, MAWAKILI WAKE WADAI ANAUVIMBE KICHWANI, WAPINGA HOJA YA JAMUHURI
🔴#LIVE: MAKONDA, SABAYA MAPYA YAIBUKA, KESI YA LISSU UTATA | FRONT PAGE
MAPYA YAIBUKA RUFAA YA DPP DHIDI YA SABAYA, WENZAKE NAO WAKATA RUFAA MAHAKAMA YA JUU YAPOKELEWA...
MAPYA KESI YA SABAYA YAIBUKA, UGONJWA WA MOYO WAHUSISHWA SHAURI LAKE LIHARAKISHWE.
#TAZAMA| KESI YA SABAYA YAUNGURUMA TENA LEO ARUSHA, MAPYA YAIBUKA KUHUSU KIBALI CHA KESI
MAPYA YAIBUKA SABAYA AMTAJA MAGUFULI NA DR. MPANGO, GAVANA BOT MAHAKAMANI 'NILITUMWA WANAJUA&ap...
#TAZAMA| MAPYA YAIBUKA KESI YA SABAYA, KILICHOTOKEA MAHAKAMANI WAKILI AELEZA
MAPYA YAIBUKA KESI YA SABAYA MAHAKAMANI
MAPYA KESI ya SABAYA, BOSI VODACOM AMCHOMA MAHAKAMANI APELEKA MAWASILIANO YAKE YOTE...
KESI YA SABAYA: MAHAKAMA YALIONYA GAZETI LA MWANANCHI; MABISHANO ya KISHERIA YAIBUKA
🔴#Live: MAPYA ‘SHAMBA LA JPM’ KUKODISHWA, KESI YA SABAYA WAPELELEZI WABANWA | FRONT PAGE
KESI YA SABAYA KUSIKILIZWA MOSHI MAPYA YAIBUKA WAKILI WAKE ATOA MALALAMIKO HAYA...
MAPYA KESI ya SABAYA, MAHAKAMA YAWASHA SINEMA KUTAZAMA USHAHIDI wa CCTV CAMERA..
KESI YA MBOWE: MAPYA YAIBUKA, KUHUSU VITENDO VYA KIGAIDI, SHAHIDI AELEZA MAHAKAMANI..
KESI YA SABAYA: AKANA MASHTAKA YAKE YOTE, WAKILI WAKE ATOA OMBI KWA MAHAKAMA..
#TAZAMA| MAPYA YAIBUKA KESI YA SABAYA AMTAJA JPM, MAKAMU WA RAIS DR. MPANGO, GAVANA WA BOT, KENANI
MAPYA YAIBUKA KESI YA SABAYA NA WENZAKE
Kesi ya Sabaya yaahirishwa mpaka mwakani
HUKUMU KESI YA SABAYA, HAKIMU ATOA MAAGIZO
KESI ya SABAYA Yahamishiwa Kwenye VYUMBA Vya MAHAKAMA KUU LEO, AFIKISHWA MAHAKAMNI...
KESI ya SABAYA, MAWAKILI wa KUMTETEA WAONGEZEKA, KILICHOTOKEA MAHAKAMANI LEO ni HIKI...
Комментарии