MAGOLI YOTE: SIMBA SC 3-0 MBA0 FC (TPL - 31/03/2019)

preview_player
Показать описание
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Simba SC walipa kisasi kwa Mbao FC kwa kuichapa mabao 3-0 katika mchezo wa kiporo wa ligi hiyo uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.

Mabao ya Simba yametiwa kimiani na John Bocco aliyefunga mawili dakika ya 25 na 59 kwa penati baada ya Peter Mwangosi kuunawa mpira ndani ya eneo la hatari.

Bao la tatu limefungwa na Meddie Kagere kwa penati pia baada yay eye mwenyewe kuangushwa ndani ya eneo la hatari dakika ya 80.

Ushindi huo unawapa Simba alama tatu muhimu na kufikisha alama 57 katika nafasi yake ya tatu nyuma ya Azam FC wenye alama 59 na Yanga wakiwa kileleni na pointi zao 67.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

*Simba itabaki kuwa juu* #Wataelewa tu, *#Mambo** mengi muda mchache*

judithpaul
Автор

Jaman UPORO wa Simbaa ni MTAMU hatari!!! Excellent #THIS IS SIMBA brothers and sisters#

thomasdunde
Автор

Nani anaamini amna kama ximbaaa bongooo

brianwalter
Автор

This is simba brother tp mazembe karib taifa🍵🍵

samwelmario
Автор

Wana simba gonga like yako fasta

mantz
Автор

ubingwa loading.... ! #pleasewait, , , iyooo penalty yakagere mmmnh cjuii kmaaa

whizzabraham
Автор

Dida una kiwango xn ww, , , , hongera xn, , , , umeokoa gori Mbili za simba nguvu moja, , , , 💪

nicolousmziho
Автор

Km unaikubal cmb lyke tuwamalize mazembe

morlovzeboy
Автор

Jamani kunamtu anateseka simba hskuna team ya Tanzania kwasa anae weza kumfunga simba kama unabisha nyonsha kidore kama unesha kama unajikuna

chusseboywcb
Автор

#SIMBA 🔥 🔥 🔥, , WEKA LIKE YAKO TWEMDE SAWA ##

mdbclassic
Автор

Mnyama odari odari wamapenziii jMn hodarii akuna cha kwamkapa wala keitaba pote pote watu wanaliwa tu dadeki zao aya MO kashakata kata mbao zakwenda kujengea msikiti uko

delabossreizer
Автор

Mwaka jana kama sio juzi mlitufunga nilichukia sana pia mlituzomea sana duuh simba

theresiamtena
Автор

Hiii simba sasa hinisifaaaa, twendeni vijana wetu, viongozi, msimu ujao tunataka tuweke rekodi ya kuchukua ubingwa bilakufungwa hata michi moja, mleteni, Agrey Morris, na, Tuyisenge, Tshishimbi, na Yukubu, Ajibu, Kambole, Moro,

sulleysonsulley
Автор

Nacheka kwasauti sana kunafungwa mbao yanga anateseka saivi yanga washakubali simba ndie bingwa et wata chukua mwakani badala mkaze mwaka huu MNA tegemea mwakani kina tuisenge wapo bwalia wapo haha hahaha yajayo yanafulahisha

kacherosimba
Автор

ukisikia shangwezinapigwa kwa wingi ujue wanaume

mussashabani
Автор

Naombe kuulisa wada kwa nn leo ukwi ajacheza na ashi manula

ezekielimengoru
visit shbcf.ru