Martha Mwaipaja - Muhukumu Wa Haki (Official Music Audio)

preview_player
Показать описание
Muhukumu wa haki ni wimbo wangu ambao nimeimbwa katika mfumo wa audio,Wimbo huu unaelezea siku ile ya mwisho itakvyokuwa pale ambapo watakatifu wa Mungu watakapo kuwa wamenyakuliwa swali la kujiuliza,Je wewe umejiandaje siku ikifika ya unyakuo wako? kuendelea kupata mfululizo wa video zangu usishau kusubscribe channel yangu hii.#MarthaMwaipaja#MuhukumuWaHaki#OfficialMusicAudio
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Yale mungu alisema hakuna kuenda kinyume kwa

ShindanoSyathongwa
Автор

Asante dada yangu ira Uwe unaacaa kujipaka hivyobitu siyovizur koatoto wamungu kwakwer unaimba visuri mimi nimurundi nakupenda Sana dada sipitwi kutazam nyimbozako ira punguza dada yangu kwamipodo sana

احمدسميح-كف
Автор

Pokeya nguvu mpya kwa jina la Jesus Christu mama Martha.

gisellekavira
Автор

Martha mungu azidi kubariki uwimbaji wako kweli mungu ana kutumia. Umengusa moyo wangu na nyimbo ya muhukumu wa haki. I love your songs. Mungu azidi kukunenea na ainue uwimbaji wako dadangu.ubarikiwe

irenemwadime
Автор

Kuanzia uanze kuimba ujawahi badilika uimbaji wako ubarikiwe sana Mama yangu

joanmwanga
Автор

Martha mwayipaja wongera sana dada yangu nakupenda bure sana mami wangu nyimbo zako zinanifunza mengi kila siku nikisikiya nasikiya raha sana kwakweli lakini Mimi muislamu ila tunawomba mungu mumoja sijakuwa nakinyongo cakukosa mafunzo yako yadini eendeleya mbele dada wuko vizuri bwana yesu asifiwe mama yangu akupe mwicho muzuri namurefu katika kazi zako from bujumbura burundi asante lazima atatawala aminiii

aasdfghrehema
Автор

Mti mwema hauwezi kutoa matunda mabaya, haleluya

hellen.g.gozbertofficial
Автор

Dunia ya leo watu wanasalitian ila yupo mtawala wa haki, Mungu akutetee kwa kila hali mtumishi

chachathomas
Автор

Martha nakupenda Sana nyimbo zako zote zimegusa maisha yngu utazani ulikuwepo hivi Mungu akubariki Sana na akuzidishie akurinde uendelee kuitangaza injili

sabrinabweheti
Автор

Mungu nisaidie hyo siku ya hukumu maana wewe ni muhukumu wa haki

salmamussa
Автор

This song has healed my soul, this means we're in the last days May God have mercy on us.

MargaretMalida
Автор

Amen 🙏 am waiting for that day ya haki kw kila mtu, tupanguzwe machozi

shapilililian
Автор

Amina jina labwana limidiwe milele namilele Dada yangu. Wambie waelewe Dunia ya leo mkili mungu muache zambi mtazame mungu mwema uzima wa milele namilele hakuna kimbilio ingine niyeye tuu siku zinakuja mbaya sana. Tubuuni kwanzia leo. Mungu akubariki kwakazi nzuri sana. Akupe maisha malefu

sanasifa
Автор

Nimemkumbuka Ephraim Mwansasu enzi zile alipiga rege Fulani amazing sana.

victorcephas
Автор

Nampenda sana huyu dada maana ujumbe anaoutoa upo kwenye jamii na nyimbo zake zinatufundisha hata MUNGU wetu aliyetuumba anapenda tuwe hivyo barikiwa sana dada

lightnessmatoti
Автор

Naitwa Safari natokea Congo kwenye kisanga ya idjwi napenda sana nyimbo zako kaza mwendo mama

safarimulihano
Автор

Napenda sifa zako Martha. Mungu na akuongezee nguvu umwimbie

dianapatis
Автор

Glory to Jesus I'm happy to know your the final Judge lord✅✅

saddiemunyanga
Автор

Naamini mungu utakuja kuhukumu namimi nitapata haki yangu

lemykagozi
Автор

Nakupenda sana Dada Martha unajua sana nyimbo zako zinanibariki sana toka umeanza mpaka leo me ni shabiki yako Namba moja

nasrinasri
join shbcf.ru