WANASIASA DUMISHENI AMANI - SUGUYE

preview_player
Показать описание
"....Na katika habari za kuzaliwa kwako, siku ile uliyozaliwa, kitovu chako hakikukatwa, wala hukuoshwa kwa maji usafishwe; hukutiwa chumvi hata kidogo, wala hukutiwa katika nguo kabisa.....Kisha nikakuosha kwa maji; naam, nalikuosha kabisa damu yako, nikakupaka mafuta...." Ezekiel 16:4,9

Usikose Jumapili hii kwenye JUMA la 3 la IBADA ya KUKATA MAAGANO YA KITOVU na KUFUTA MAGONJWA NA UMASIKINI WA KICHAWI itakayoambatana na kupakwa MAFUTA ya Baraka na Uponyaji katika Kanisa la WRM lililopo Kivule Matembele ya pili, Ukonga jijini Dar es salaam, Tanzania kuanzia saa 2:00 asubuhi.

WATU WOTE MNAKARIBISHWA

Share Your Testimony through WhatsApp Video on +255 (0) 673 117 117

#chief_prophet_suguye

#wrmtv

#startimes_119

#Azam_decoder_other_channel_007

Wasiliana nasi kupitia +255 (0) 655 448 116 au +255 (0) 688 448 117

Usisahau! Share, Like, Comment, na Subscribe video zetu ili uwe wa kwanza kupata mafundisho ya Chief Prophet Nicolaus Suguye.
Рекомендации по теме