Pasipo MAFUNUO ya KIUNGU Utaangamia!

preview_player
Показать описание
"Akawaambia, Nendeni, mkamwambie yule mbweha, Tazama, leo na kesho natoa pepo na kuponya wagonjwa, siku ya tatu nakamilika." Luka 13:32

Mwana wa Mungu hupaswi kumuogopa Adui, kwani aliye upande wetu ni Mkuu kuliko wao.

Share Your Testimony through WhatsApp Video on +255 (0) 673 117 117

#chief_prophet_suguye

#wrmtv

#startimes_119

#Azam_decoder_other_channel_007

Wasiliana nasi kupitia +255 (0) 655 448 116 au +255 (0) 688 448 117

Usisahau! Share, Like, Comment, na Subscribe video zetu ili uwe wa kwanza kupata mafundisho ya Chief Prophet Nicolaus Suguye.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

May the Almighty GOD continue to bless u my father in the LORD. I was really inspired with the message!

brightmollel
Автор

Amina, bweha lazima afe. Rose from kenya

shinalrose
Автор

Enyi wachawi mnaotafta elimu yangu na maisha yangu nawatokomeza nyie mbwea. Kila ikisikika saut hii. Msambatike na kuzikwa kwa jina la Yesu

eliusjohn
Автор

Eee!! Yesu nione mm mwanao Asela Pancras. Naumia unifadhil kwa kipnd hiki. Nivuke mpaka ajira zje

eliusjohn
Автор

Mbwea wanaonitafta kuniangamiza kutoka nyumba Okiganda nawazika leo kwa jina la Yesu

eliusjohn
Автор

Eee!!! Yesu fungua Tamisemi watoe majina ya tuliochuguliwa mwez wa huu wa kumi

eliusjohn
Автор

I received in Jesus Christ’s Amen. Indeed it will be over in JESUS CHRIST name.

brightmollel
Автор

Nyota yangu irudishwe haraka iwezekanavo kwa jina la Yesu

eliusjohn
Автор

naitwa merry bayyo toka cyprus namshukur sana mungu wa prophet nicolaus suguye nilifika mahali hapo wrm chuch kwa mara ya kwanza ilikuwa mwezi wa pili mwaka huu tarehe 13 jmosi nikachukua vifaa vya utakaso then jpili nikaingia kanisan ambapo nabii alisema kuna watu wanaenda kuwa matajiri lakin msisahau kuwasaidia yatima jtatu nikaitwa kazin kwangu boss akaniambia twende ukafanye kazi ulaya hatimaye nipo sasa kweli sitaacha kumtumikia mungu wangu aliye hai mungu azidi kukubariki nabii wetu nicolaus suguye ameen.

marybayyo
Автор

Ndoto ya kupaa angani. Naizika kwa jina la Yesu

eliusjohn
Автор

Amen Daddy!! Nasonga mbele kwa jina la YESU

roselinenjau