MZEE MAKAMBA AWAACHA HOI SAMIA, KIKWETE AKITEMA CHECHE KWENYE MKUTANO MKUU CCM, AMNADI MZEE KINANA

preview_player
Показать описание
MZEE MAKAMBA AWAACHA HOI SAMIA, KIKWETE AKITEMA CHECHE KWENYE MKUTANO MKUU CCM, AMNADI MZEE KINANA

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113

LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻

Follow Us On:

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

R.I.P my HERO my Heir anko MAGU 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Malipo ni hapahapa 😭😭😭

hamisrutunga
Автор

I MISS you my President J, P, M hatutakusahau kamwe wacha wajigambe lakn dunia ni hii hii waendao ni viumbe siku yaja mungu ataturudia tena.

rosemongi
Автор

Hakuna kitu hapo, lakini bado sana kumkaribia hata kidogo JPM. Pengo aliloliacha JPM ni ngumu sana kuzibika kirahisi rahisi hivi.
RIP, BABA YETU, JPM.

davidmpiluka
Автор

RIP magu pumzika kwa amani baba..l miss you baba 😭

jenniferkalinga
Автор

Yes hao ndo wazee wetu wa hekima
Asante Mama kuwaona wazee wetu BINAFSI Nimependa Mungu awafanyiye wepesi kwa kilajambo
Wao👏👏👏👏 MZEE KINANA MZEE MAKAMBA NA MZEE KIKWETE KIDUM CHAMA CHA MAPINDUZI KIDUM MADALAKANI❤

beatricemsita
Автор

Vibrant speech...and very motivational...this guy is a gift to Tanzania...Makamba hoyee👏👏👏

nazraseiban
Автор

How old is this gentleman ? Very vibrant and Love his speech...

oscarwandera
Автор

Mzee Makamba Hongera Sana, maneno yako Ni ya busara Sanaa;Mungu aendelee kukulinda ili tuendelee kuchota busara zako!!!Mungu akubariki Sanaa!!!

johnkasuga
Автор

Pumzika kwa amani JPM. We real mic you.

Wamerudi wezi, wahuni na porojo ni nyingi. Mtaani matatizo yamejaa. Umeme tunakatiwa, wafanya biashara wananyanyaswaa. Mungu tusaidie kwani hata matajiri wezi wanakufa na kuoza. Asali mnaramba wenyewe sasa mseme watz tunaramba asali. Tunaramba vumbiii kwa msivyotujali.

benjaminjoseph
Автор

Mzee makamba nakushauri Sana usimchulie mama yetu, nakumbuka hata ndugai alimuambia magufuli akimaliza awamu zake mbili lazima ataongezewa tena miaka kumi mingine, ndugai amemchulia magufuli sasa leo magufuli hatunaye tena sasa naona mzee anamchulia mama yetu,

rashidysingo
Автор

Asali hiyo mnailamba wenyewe. Watanzania hawajaiona wala kuisikia, I’m sorry to say that. And I’m sure wengi wataniunga mkono . Hawa CCM wanatufanya Watanzania shamba la bibi. Sasa

maryfranknamkumba
Автор

Huyu Mzee anayo hekima kupitiliza. Wonderful speech Mzee Makamba. Mwenyezi Mungu akujaalie maisha marefu.

AggiesVine
Автор

Asante mzee wetu makamba tuwaenzini wazee wetu haifai kuwatukana maisha kigeugeu

masoudalriyamy
Автор

Kwa watanganyika hakuna maendeleo tena, mafisadi walimuuwa, RIP JPM

timboxlee
Автор

Rest in peace our presdent Magufuli alijitoleamaishayake kwaajili yetu wa Tanzania wanyonge tunakukumbuka sasa

amrimapate
Автор

Jamn nimemisi Sana Rais wetu, Jpm lala salama baba daima tutakukumbuka

jacksonmwiru
Автор

Jeshi Magufuri pumzika kwa Amani tunaumia sana lkn Leo najua Mungu kukuchukua alikuwa anamaama kubwa na funzo kubwa sana kwetu.

shabanialfani
Автор

Hamna kitu....nyie endeleeni kulamba asali mwisho upo jirani Wana maliza vyuo wapo mitaani mnaendekeza kuteua wazee waliokula nchi Kwa miaka zaidi ya 40....this is shame!!!

aloyceiluminata
Автор

Sasa tutakoma nchi imeshikiliwa na wenyewe 🙌

venturejackson
Автор

Mungu wa Magufuli uko wapi? Mbona hawa wanafiki wamerudi kwa kasi? Nchi inaongozwa na familia.

malcomx