Mzee Makamba amvaa Dkt. Bashiru mbele ya Rais Samia 'Anatatizo na kuupiga mwingi...'

preview_player
Показать описание
#LIVE🔴 Rais Samia anashiriki kwenye Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM - JKCC, DODOMA

#CCM #MkutanoMkuuCCM #EastAfricaTV

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Mzee ongea Kwa kuwa unalishwa na taifa lkn jua kuna walipa Kodi alaf umri wko huo usituongelee upuuzu hapa

jalaryababilasi
Автор

Waliyokuja kusoma comment kwanza kabra ya hotuba kuisha gonga like

terashangwe
Автор

Kwa Hali hii hata mtoto wake akiboronga kwenye uwaziri hawezi kuguswa

abasishabani
Автор

Safi sana mzee🤝 haki ya Mungu nampenda sana mama samia kura yangu👍 2025 💯

saidkipalo
Автор

Mzee kakae ule kod zetu huna cha kufanya kuingiza chochot kwenye taifa tunaoon maish yalivyo ni sisi

michaelgamba
Автор

Ww mzee mbona unamuongelea hayati magufuli huna Cha kusema, wewe mpuuzi kweli. Akili finyu

camontecno
Автор

Huyu adunje anaongea nn peleka huko upuuz wako

shinemakenzi
Автор

Mzee makamba Umri wako inatosha huna muda mrefu kuishi tuachie Vijana ndio tunajua nani Jembe nani anaupiga mwingi

ignatusrogerslema
Автор

Hacha kucheza namaisha ya watanzania kwa ngonjela zenu, wakati mwingine muwe mnakaa kimya Kama point, maana nayo niekima, baadala ya kutumia muda mliobakiza duniani, kuisaidia nchi mnaanza kupashana??? Ipo siku mtatoa esabu kwakutozitumikia nafasi zenu vyema, leo mnafulai nakuona nchi niyenu Ila wakati unakuja mtalia nakuomboleza myaka isiyo na esabu,

renatusrutashobya
Автор

Ndiyo maana tunataka katiba mpya ndiyo mwarobain wa hayo yooote coz Rais lazima apunguziwe mamlaka

lusajomwaipopo
Автор

Mashetan hao wametuwekea kivul cha raisi, anaongoze mwingne, hata mkamremba, hovyo mambo hovyoo, magufuli daimaa tunamkumbuka, we mzee unajikomba kwakuwa wanao January jizi liwekwe kwa awam 6 umeme unakatika hovyo, maji mgao, enz za magufuli wetu miak 5 tulisahsu ukirimba huo wa maji na umeme, magufuli magufuli 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

floramwanja