MCHEZAJI JKU AIOTA YANGA/NAMPENDA MAX NZENGELI/NATAMANI KUCHEZA YANGA/AFUNGUKA KUCHEZA TANZANIA

preview_player
Показать описание
Leo agosti 27 katika dimba la Azam complex Chamazi JKU anamwalika Singida Big Stars katika mchezo wa pili kombe la shirikisho barani Afrika

Mpenja Tv tupo hapa kukuhakishia kuyapata matukio yote muhimu katika mechi hiyo
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Safi sana, Yanga ndiyo timu yenye ushindani na inafanya vizuri.

issaselemani
Автор

Kweli huyu captain kaongea kikubwa sana

kottaflavour
Автор

Anatamani kucheza yanga mpeni nafasi kama anauwezo

shijamakoye
Автор

Waandishi maswali yenu mabaya siyapendi, mfano huyo sasa ivi umemuweka pabaya hawezi kupata ofa ya simba kwa sababu ya akili yako ndogo, kwani nini mnauliza maswali ya kipuuzi ivo????

jumanneenos