UKWELI BEI YA NYAMA KUPANDA WAWEKWA WAZI 'IMEPANDA KOTE”

preview_player
Показать описание
Stori iliyozua gumzo Tanzania ni kupanda kwa bei ya nyama ya ng’ombe ambapo imetoka 7000 kwa kilo hadi kufikia 8000 mpaka 9000 katika maeneo ya DSM na baadhi ya Mikoa.

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

hii ndo tafsiri ya neno
"kazi iendelee"

audaceleroi
Автор

Halafu anakuja kilaza m1 anakwambia kiwango cha ulaji wa nyama chashuka kwa wa Tz pumbaaav

iddimngazija
Автор

Mama ana uruma baba alikuwa mutetets ilatu tunakubali kilajambo

masaikaren
Автор

Kaka joer meshack...tuteteeni jamani mnataka tuendelee kula marage.

robinahumphrey
Автор

Alafu mimi mkulima mtaani napangiwa bei na VIONGOZI WASENGE 😠😠😠

rashidramadhan
Автор

Mpaka nyama zinapanda madili yamerudi na sisi ndio tunaongoza na wanyama wengi

kingbuddah
Автор

Kuku 6500 na unakuta ana kilo zaidi amua mwenyewe Sasa ule kuku au red meat

wilfredbyabato
Автор

Kumamae bei ya kila ktu imepanda daaah

dintazdintaz
Автор

Tena hilo libwana linaongea kwa jeuri,
Baba JPM mtamkumbuka sana😭😭😏😏
Alfu mama ati anaendeleza kazi🧐🧐😭😭😭

thieryniyonkuru
Автор

Yani nchi hii tuta zidi kupata tabu hakuna afadhali kwel kazi iendelee

ilynpayne
Автор

Swala sio majani swala kupanda Kwa mafuta

abdillaahirichardkasisi
Автор

Mitapeli hiyo ww unaona hata uso wake tu anaonekana anatama sana huyo eti majani porini majani yamefanya nn shenzi ww

mzeeomary
Автор

Hii unaikuta Tz na baadhi ya Nchi za KIDUANZI za kiafrika’ yaani bei POMBE ni ndogo kuliko bei ya NYAMA....!...hahahahaa.... Stupid mathematics..!

ismailyusuph
Автор

Unguja nyama safi kilo elf15 yaan 15, 00/= ss uko dar ata elf10 haijfka mnalalamika jmni wakt Wala mambo bado asa apo bdo havijapnd vitampnd Ivo v2 mpk watu watakaa kmy wenyewe

hamidmweusiii
welcome to shbcf.ru