'MTU KATI'Episode [No 14]

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Wow, kumbe zawadi ni ndugu yetu mubembe? Hongera sana, usisahau lugha yako ya asili mama, big up sana. Fizi is home

Femactors
Автор

Mawa penda sana tin white na mkojani kila mara unani toshaka stressée 😂

Josephkahwa
Автор

Mwavita acha ayo mambo ila nakupenda pamoja na bimkubwa

BelottyAlphoncine
Автор

Kumbe zawadi ni m’bembe na anakiongea vizuri ( haa mshimwenda bana bose balè sawa bope ) 🇨🇩🇦🇺🇦🇺

estatekisombola
Автор

Hi tamsilia imeenda San mjin wat weng tumetokea kuipenda

JustineHaule
Автор

Zawadi ungejua chenye unanganganea ungeacha tu mwavuta akaenda ni mnafiki 😢

bettyojiambo
Автор

huyu mwamvita shangingi na muongo balaaa

muzafarsharif
Автор

Yan mpaka maji nayarudishaa humuuu😂 ka kojoo🤣🙌 white ajawahi kuwa serious kabisaaa..,

Aliyeimba hii Mtu kati anajua sanaa🎉 🎉..,

Kidera ana ka umalayaa mana sio Kwa kuuma huko midomo khaa atauponzaa shauri yake baba ake keshalipa Ada..😮

JOHAREHfilms
Автор

Nawakubali San team tin white 😂😂😂❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

HamisiFaraji-ejmf
Автор

Tin white noma sanaaaa anawaisha vitu mpaka laha

goodluckkigwenenge
Автор

Baba kidela hajakubal kubak nalo nayy kalipiz karingixha na yy hajakubal kuringixhiwa😂😂

ElizabethMziray-xvsp
Автор

Zawadi dada yangu napenda kuliza Wew ni kabila gani na mtu wawapi maana Naona unaongea adi kibembe luga yangu

SunguraSaidi-yl
Автор

Yess mwaume anatakiwa awe ivooo, nimependa tin

mwazaynbntymfaume
Автор

Mutu kat Kaka Leo WA Kwanza family wanao kubali kuwa yanga Leo 2 bila like zenu hapa

IsakaMwozya
Автор

Uyu mzee amefanana na bell9
Amifanana na professor jay

KimbilimaSocial-dycl
Автор

Leo tin amekaza kama hutak kuolewa sema mbna mwamvita kanyooka

ElizabethMziray-xvsp
Автор

tin kwa mwamvita unaenda kujuta mke anajulikina akiwa bad yuko kwao

ElyabuBarankiliza
Автор

😂😂😂tinwhite sio ulivyo mwambia mzee fumboo

marywairimu
Автор

Yani sijawahi kupitwa nawapenda sana ❤❤❤ from Burundi

mvuyekurelina
Автор

Dah tin white unitoaga stress et vitu bilinganya bilinganya 😅😅😅😅😅

silvanusrulandika