Makamba: 'Wee Bashiru Magufuli Alikuita Jembe, Tatizo Nini Samia Kuupiga Mwingi?😜😂 #shorts #magufuli

preview_player
Показать описание
Makamba: "Wee Bashiru Magufuli Alikuita Jembe, Tatizo Nini?😜😂 #shorts #magufuli #ccm #dodoma
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Bashiru yuko strong anatazama tu na anacheka. Walio somea Cuba tunamuelewa

sonnyr
Автор

Mimi ni mukongomani.
Hamuna katu. Usimulinganishe na JPM. Kazi Kasi imepungua

byamasumundele
Автор

Mzee unazeeka vibaya haya bwana watanzania tupo MUNGU anawaona

alexmhufu
Автор

Mmemuua na kweli ajenda imeisha. Wale wale tunawajua sana lakini mtajibu

MsAggie
Автор

zee la ovyooo kabisa halijielewi limekazana kuropoka kwa kula ya mwanawe

sheryphamwenevalley
Автор

Ndio maana Tanzania 🇹🇿 amna kitu zee kama ili mpaka sasa alikakufa tu

rogerabdallah
Автор

Kama lishirikina yan machawi yanajulikana tu

jitulakaleboymastr
Автор

Tatizo letu watanzania huwa tunapindisha ukweli ili kutetea tumbo duuu

nelsonmwaipaja
Автор

Mzee anaropoka sana sijui anajiamini nn?

malkavoice
Автор

Huyu mzee kipindi cha Magufuli alikuwa kaufyata ila now anatamba dah maisha haya yana siri kubwa

R_Rajab
Автор

nenda kaague tu uwe mganga wa kyenyeji boya mzee ww

eliezermasalala
Автор

MPUMBAVU MKUBWA WEWE MZEE HII NCHI SIYO YA BABA YAKO MCHAWI MKUBWA WEWEE

stevensosipita
Автор

baba acha kushishindana na vijana uwoo. ni uchochezi fanya madili uzee waisilam vipi

mamapeace
Автор

Duh huyu mzee anazeeka vibaya. Weka akiba mzee unayoyasema. Mzee kweli unamkosea sana Raisi JPM mpe heshima yake. Kumuuta Rais Magufuli unashindwa.

mwalimumstaafu
Автор

Ukweli mzee Makamba unazeeeka vibaya namshauri January amwambie mzee apumzike kuongea

adamfumbo
Автор

nenda huko bumbuli we Mzee hovyooo eti unasema wazuri hawafi fisadi mkubwa
ulizungumza upumbavu huoni hata aibu, mjinga we Mzee Makamba

senyagwadickson
Автор

Huyu mzee angepumzika ale kwa wakati alale kwa wakati jamani.hizi siasa mpaka lini?

sophiakimaro
Автор

KUNA KAULI ALIISEMA HADI NIKAJUA WWAJINGA NAO WANAZEEKA. NAHAU NA KISWAHILI TOFAUTI YAKE NN!? AU NAHAU NI ZA VIJIJINI!???

eliudfelix
Автор

we Mzee mwehu tu watu wanakushangilia upuuzi tu

senyagwadickson