FAIDA 10 ZA KUNYWA MAJI YENYE LIMAO KILA ASUBUHI.

preview_player
Показать описание
Kunywa maji ya uvuguvugu yaliyochanganywa na limao/ndimu huwa ni dawa nzuri Sana kwani inasaidia kutibu magonjwa mengi katika mwili wa binadamu.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Asante, na ongera Sana unatufundisha kutukoa mungu akubariki Sana🙏🏻

happynescostat
Автор

Je nikiwa natumia limao, tangawiz na asal ni vizur

JuliusdumiJuliusdumi
Автор

I like your description.Thanks a lot sir.

ElihurumaMunuo-cdzd
Автор

Ahsante sana Dr Ila je ni kiasi gani cha maji ?

ngayanisimbo
Автор

Asnt san my bro mung akupe umri mrefu ❤️🥰

aminaamina-xjqs
Автор

Mimi nilikua naumwa Sana miguu hata kuchuchumaa ilikua shida nilivyotumia maji ya moto nikapona kabisa

pendojohn
Автор

Nataka nijue dr ni kweri limao ikizid inakausha dam ....?

godfreyvicent
Автор

Je kama Sina asali naweza tumia sukari kidogo?

anastazianikodemjoseph
Автор

Mimi nilikua naumwa Sana miguu hata kuchuchumaa ilikua shida nilivyotumia maji ya moto nikapona kabisa nachanganya limao

pendojohn
Автор

Vp kama nkitumiaaa majiii ya limaoo peke yake bila kuchangany na maji ya kawaida

xwabiesabasi
Автор

Doctor mie ninashida katikati ya matiti kwa chini sehemu ya moyo huuma Hadi hupelekea nifanye kama na shika hiyo sehemu nakufinya sijui tatizo hili nini

maryadenyo
Автор

Na mjamzito anaruhusiwa kunywa majii ya limao asubuhi

rahmaremmy